Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Hujaona attachment mkuu?Taarifa bila attachment ya hayo majina ni sawa tu na kudemka!!. Mbaya zaidi unademka mchana kweupe!!!, Na hili jua kali basi ndo balaaa tupuuu. Jombaa hebu ipe nyama ya attachment ya hayo majina ndo taarifa itakuwa kamili.
Sijaiyona jombaaHujaona attachment mkuu?
Tena ni opportunistic mmoja hatari sanaJamaa ana roho mbaya sana ya kujipendekeza aliona yeye ndio ana haki ya kutibiwa na sio wengine toka alipoleta zengwe la kuondolewa Prof Assad ili mradi mambo ya anaemtuma afanye atakavyo bila kuhojiwa namuona sio mzalendo kabisa ni mchumia tumbo tuu kama wengine..
... huyo ndiye Mkuu wa mhimili wa kutunga sheria asiyefuata sheria. Tena ana exemption ya kutoshtakiwa ndio basi tena utamwambia nini.Kama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Attachment ya hayo majina! Sijaiyona kabisa jombaa. Please hebu iweke humu Jamii forum ili tuiyone.Hujaona attachment mkuu?
Wanaongelea dunia au watumishi wa umma?Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Upole wetu umetuletea madhara makubwa.ndugai ni bogus. anatumia ujinga wa watanzani kuvunja katiba
Wewe sio mjinga ni mburura.Wanaogelea dunia au watumishi wa umma?
Si busara kuonyesha ujinga hadharani
Hajapewa kama zawadi,hiyo ni haki yake,kweli ujinga ni mzigoSasa hela mmepewa kwanini hamfungi mdomo? hivi mmezaliwa mnaongea?