Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Hilo tundu moja unalolisema ndio jina lako bwana mqnd.Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo tundu moja unalolisema ndio jina lako bwana mqnd.Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Hakuna kitu hicho mzee
www.utumishi.go.tz
Watu kama nyie ndio mnalifanya ili taifa liwe na watoto vilaza sana.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.
Mbona unatingisha mazaga? Tulia kitu iingie pale penyewe mpaka utoe mnyesoUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Toeni link tujirithishe.
Hii taarifa mmeipata wapi? Mbona website ya wizara ya fedha haioneshi hicho kitu?Watu 27,389 wamehahakikiiwa kulipwa akiwemo TAL na RIDHIWAN JK
Kwa mfano kila mmoja anadai TS 9,000,000*27,389 unapata TS 246,501,000,,000/=
Ramani ya fedha imekaa
... Wizara ya Fedha na Mipango inalipa malimbikizo ya mishahara Tanzania nzima?Kwa hiyo Tanzania nzima kuna Tundu mmoja tu?
Utumishi
The President's Office, Public Service Management and Good Governance (PO PSMGG) is a Ministry under President's Office as per Government Notice No.143 of 2016. Before 2016 it was known as The President's Office, Public Service Management (PO-PSM). Its chief executive and accounting officer is...www.utumishi.go.tz
Mbona na kwenye website ya utumishi ipo?
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Acha sifa za kijinga- na Ridhwani naye mbona yumo- haya yatakuwa madai ya kawaida yasiyokuwa na uhusiano wa ile mishahara aliyokuwa mtoro bungeni.Kama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Hii Taarifa ni Fake. Haipo kwenye tovuti ya wizara ya fedha na mipangoMkuu attachment ya hayo majina hii hapaView attachment 1828494
Naomba uweke list yote hapa mkuu
Hela atachukua Ni haki yake Ila kuunga mkono juhudi. NoSasa aje achukue hiyo hela na aunge juhudi mkono asipige kelele zisizo na sababu
Yapo twita!Attachment ya hayo majina! Sijaiyona kabisa jombaa. Please hebu iweke humu Jamii forum ili tuiyone.
Wataalamu wa historia wataandika mimi nakamilisha cha kwangu cha ujasiriamali(entrepreneurship) ambapo kimegusa kwanini biashara zinakufa na nini kifanyikeTulisema utawala wa mwendazake (revered) hayati (late) Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli ulikuwa wa kidiktekta na kuburuza mihimili yote ya dola Tanzania kufanya maamuzi yasiyo sawa na pia kuwaumiza waTanzania wengi.
Watu majumba yao yalivunjwa kupisha miradi bila fidia, wafanyabiashara kutishwa, raia kubambikiwa kesi, uhuru wa kujieleza kubinywa, mbinyo mkubwa ulitumika kuwatisha watendaji serikalini wasitoe haki, uchaguzi ulikuwa ni wa hadaa, listi ni ndefu ya mapungufu na ukatili haya yote yanabidi kunakiliwa na kuandikiwa kitabu yasijitokeze tena ktk Tanzania yetu.