Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.
Bashite huyo anataseka sana na jina la Lissu.
Lissu alipwe haki zake sio hisani.
 
NAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?

Habari wana JF naomba nifahamishwe ni wapi yanapo fanyika malipo ya malimbikizo ya watumishi wa umma?

Natanguliza shukran zangu
Wakikujibu jiwe anafufuka
 
Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.

Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini

Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV

Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Huu ni mwanzo tu. Mh Rais Mama Samia Suluhu Hasaan( Rehema na Amani ziwe Juu yake) amejifunza jinsi Mtu mwovu anavyoweza kutumia madaraka vibaya na kuharibu nchi.

Tutarajie na Mchato wa Katiba Mpya. Yajayo ni Neema Tupu.
 
Sijaelewa, halafu mhe radio huyu wa sasa si ndio huyu huyu aliyemfukuza? Ni mambo mawili tu kwake, either ajiuzuru nafasi aliyonayo au afanye declaration kwamba alikua anapokea maelekezo, haikua kwa UTASHI wake, Watanzania tutamsamehe maana maneno yake ya kumfukuza Lissu ubunge na hata kumnyima haki zake bado yapo youtube
Akijiuzuku atakula ninu yule. Unadhani ana uwezo wa kuishi nje ya Bunge??
 
hivi cha ajabu nini hapa!!maana lissu amewahi kuwa mtumishi wa uma kupitia ofisi ya bunge!!!

kuna watu wangapi hapo,ila akaonekana lissu!!wazee wa mizuka mnaendelea kudemka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom