Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo malimbikizo ya lini?Kama mtu anastahili kulipwa haki zake kwa nini Ndugai amnyime na huku yupo katika wanaostahili malipo?View attachment 1828482
Na wewe uliyebaki una faida gani zaidi ya kusarandia TGTS E1 za ualimu?Yule dikteta bora alitwaliwa mapema
Kweli mkuu, yaani we acha tu, dunia imeenda kasi sana Mungu huyu,acha aitwe Yehova.Dikteta alikuwa shetani bora alitangulia,sasa tunaishi kwa raha na mstarehe
Bashite huyo anataseka sana na jina la Lissu.... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Ulitaka hiyo hela walipwe Mayanga Construction kwa analysis zao hadi kufikia kujenga airport machakani Chattle?Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Hiyo habari ni feki. Kwanza serikali hii haina pesa ya kulipa malimbikizo ya wafanyakazi kwa sasaHiyo list ni ya mwaka gani?, msirukie vitu bila kuwa na source ya uhakika.
Wakikujibu jiwe anafufukaNAOMBA KUJUA WAPI YANAFANYIKA MALIPO YA MALIMBIKIZO YA WATUMISHI WA SERIKALI / UMMA?
Habari wana JF naomba nifahamishwe ni wapi yanapo fanyika malipo ya malimbikizo ya watumishi wa umma?
Natanguliza shukran zangu
Huu ni mwanzo tu. Mh Rais Mama Samia Suluhu Hasaan( Rehema na Amani ziwe Juu yake) amejifunza jinsi Mtu mwovu anavyoweza kutumia madaraka vibaya na kuharibu nchi.Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Usitumie nguvu kubwa sana ukamaliza hata ya kunya jioni.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
shetani hana nafsi ya aibu.Spika ataficha wapi uso wake?maana alijidai ana mkeka wa malipo yote na Lissu hadai chochote
🤣🤣🤣Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Anazidi kukonga nyoyo.Mama Samia uko juuuuuuu
Teh teh teh wasalimie hapo gamboshiUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Mungu hakukoseaDikteta alikuwa shetani bora alitangulia,sasa tunaishi kwa raha na mstarehe
Lissu ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja ila kwa watu kama wewe wenye uwezo mdogo wa kufikiri unaona kama anakupigia kelele.Sasa aje achukue hiyo hela na aunge juhudi mkono asipige kelele zisizo na sababu
Akijiuzuku atakula ninu yule. Unadhani ana uwezo wa kuishi nje ya Bunge??Sijaelewa, halafu mhe radio huyu wa sasa si ndio huyu huyu aliyemfukuza? Ni mambo mawili tu kwake, either ajiuzuru nafasi aliyonayo au afanye declaration kwamba alikua anapokea maelekezo, haikua kwa UTASHI wake, Watanzania tutamsamehe maana maneno yake ya kumfukuza Lissu ubunge na hata kumnyima haki zake bado yapo youtube