Job Ndugai: Anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye

Job Ndugai: Anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye

Duuh yaani umeongea kitu kinafikilisha sana [emoji106][emoji106][emoji119]
Serikali ilipaswa tengeneza ajira ambazo mtu akistaafu anakuwa na uhakika wa kuendelea kuishi.

Hawa boda boda ni daraja la wanasiasa, hakuna atayefikisha miaka 61 na hiyo kazi.

Hakuna atayekuwa na uhakika wa kuendelea ishi endapo atapata ulemavu



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu
Mzee Jobu si ni wewe uliesema NCHI HII ITAPIGWA MNADA ?

Naona sasa umekuja na issue ya uwendawazimu maana ulisema pia watu wapitie Milembe kwanza kabla ya kugombea kwenye Majimbo yao, bado unakazia palepale watu wakapimwe akili ?
 
Risk imetuzunguka kila mahali, hata ukipanda balloon kwenda kazini kwako bado upo kwenye risk ya ajali tu, no safe zone, hata unaweza unatembea kwa miguu ajali ikakufuata hapo ulipo,
KAZI NI KAZI.
Saf Sana ndugu kazi ni kazi. Na risk zipo mahali popote PA kazi
 
Mzee Jobu si ni wewe uliesema NCHI HII ITAPIGWA MNADA ?

Naona sasa umekuja na issue ya uwendawazimu maana ulisema pia watu wapitie Milembe kwanza kabla ya kugombea kwenye Majimbo yao, bado unakazia palepale watu wakapimwe akili ?
ALIGHAFILIKA KAMA BINADAMU NA CHAMA KIMEKWISHA MSAMEHE NA KIMEKWISHA YASAHAU YALIYOPITA, MKIAMUA KUYAHIFADHI MAKITU YALIYOKWISHA MUDA WAKE HAYO NI YA KWENU,KWA SASA CCM NI MOJA NA INAKWENDA MBELE NA RAIS WETU NI DR. SSH 2025-2030.
 
Risk imetuzunguka kila mahali, hata ukipanda balloon kwenda kazini kwako bado upo kwenye risk ya ajali tu, no safe zone, hata unaweza unatembea kwa miguu ajali ikakufuata hapo ulipo,
KAZI NI KAZI.
Ukigongana na gari mwenye gari anatoka mzima wewe unaenda kukata mguu moi.
 
Ndugai akiwa hana madaraka ana akili sana na busara zote na heshima zote na anaongea vitu very clear, Ila sasa akipewa tu madaraka analewa madaraka alafu anakuwa mjinga sana na kuwa Mungu mtu, tena atakupiga na rungu kubwa kichwani na matusi kibao, atakwambia nitakuua mbwa wee na hatanii atakuua kweli na atakwambia chezea kitu kingine, sio Ndugai, yaani hatari sana huyu akiwa na madaraka.

Ila sio Ndugai tu, wengi wa watanzania washamba wakiwa hawana madaraka wanaongea na kuonekana watu wenye akili na busara sana, balaa apate madaraka au fedha nyingi, wanakuwa wajinga sana na wanaota mapembe na mabega wanatembea juu juu, hata ardhi hawaoni wanapokanyanga, yaani wanaona watu wengine ni takataka baada ya madaraka, hili ndio kosa kubwa sana binadamu tunafanya...

Binadamu halisi utamjua baada ya kupewa madaraka au awe na fedha nyingi, je atalewa ufahari au fedha na kuona wengine ni takataka au atajiona yeye ni Mungu mtu, so hicho ndicho kipimo halisi cha binadamu wa kweli.
 
Hakuna mahali alisema vijana wa bodaboda wamelaaniwa bali alisema kazi ya bodaboda ni laana,mana haina matumaini na nikazi inayoumiza vijana wengi,job aache unafiki akae kutulia mana ametengeneza taifa la hovyo.


Kazi iliyolaanika huwa inajifanya yenyewe??, lazima ifanywe na mtu ambaye kwa kuifanya hiyo kazi naye anakuwa laana, mfano mtu akisema; kazi ya wizi ni laana hiyo maana yake huyo mtu anayefanya hiyo kazi ya wizi (mwizi) naye anakuwa kalaanika.

Hapo tukubali tu Lema alichemka.
 
Serikali ilipaswa tengeneza ajira ambazo mtu akistaafu anakuwa na uhakika wa kuendelea kuishi.

Hawa boda boda ni daraja la wanasiasa, hakuna atayefikisha miaka 61 na hiyo kazi.

Hakuna atayekuwa na uhakika wa kuendelea ishi endapo atapata ulemavu



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Duuh kweli kabisa..
Wengi hatukuelewa kabisa an
Tukawa tunafata mkumbo wa kumponda yule jamaa
 
Vip na Ile kazi ya ukahaba? Ni ya heri au laana? Sioni ikizungumziwa
 
Back
Top Bottom