Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Ndugai ni mpumbavu kama nguruwe wa uvccm.
Spika Mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania kuacha tabia kutothamini mafanikio au juhudi za watu mbalimbali wanazozionesha katika taifa hasa katika sekta ya biashara, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa Chakula katika Taarafa ya Pandambili Iliyopo njia Kuu ya Kutoka Dodoma Owenya Morogoro.
Amesema "Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu."
Chanzo: GlobalTV
Wanakwepeka kabisa tatizo wabongo wengi hatupendi kufikiri,hasa walio katika maamuzi ni upuuzi tu.Tulipofikia, Bodaboda hawakwepeki.
Kuna mtu alisema bodaboda wamelaaniwa?
Spika Mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania kuacha tabia kutothamini mafanikio au juhudi za watu mbalimbali wanazozionesha katika taifa hasa katika sekta ya biashara, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa Chakula katika Taarafa ya Pandambili Iliyopo njia Kuu ya Kutoka Dodoma Owenya Morogoro.
Amesema "Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu."
Chanzo: GlobalTV
Lini uliwahi kusema kuwa lema hajapoteza reality.Lema ameishi Ulaya mwka tu amepoteza reality ya Tanzania, ameshau haraka sana maisha ya mtanzania anataka watu waishi kama Dunia ya kwanza bila mchakato wa maendeleo jambo ambalo haliwezekani, hata hizo boda boda Miaka ya 90 mtu kumiliki tu kama usafiri binafsi ilikua sio rahisi
Bodo bodo kama Wanapata hela waizitumie kama mbegu ya kuboresha maisha Yao hapo mbeleni kwa kuwekeza kwenye kazi zenye staha zaidi.
Na bado kufikia 2025 hao nguruwe wa uvccm watapoteana wote.lema ameongea siku moja tu ila anajibiwa mwezi mzima na kila mtu
Sijui kwa nini Watu hawataki kuelewa kama ulivyoelewa wewe!Serikali ilipaswa tengeneza ajira ambazo mtu akistaafu anakuwa na uhakika wa kuendelea kuishi.
Hawa boda boda ni daraja la wanasiasa, hakuna atayefikisha miaka 61 na hiyo kazi.
Hakuna atayekuwa na uhakika wa kuendelea ishi endapo atapata ulemavu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama ndugui ana akili japo nusu ya Lema basi neno akili lifutwe katika kamusi ya kiswahili!Jobu Ndugai mgogo halisi! Anaakili njema kuliko Lema
Lema wa kabla ya kupanda pipa kwenda ughaibuni, alikuwa mtu sahihi! Sielewi huyu aliyerudi, sijui kimerudi kimvuli Chake na Lema halisi kubaki huko Canada!! 🤗
Huyu nae ni mpuuzi tu. Uuze mama ntilie, uje umiriki hotel? Inawezekana USA sio Bongo hii. Mama ntilie wote walifukuzwa mitaa ya uzunguni, Masaki, Oysterbay, nk. Yaani ufanye biashara ya chakula cha bukheri, hasufu uje umiriki hotel ya milioni 100! Sema kama unauza madawa ya kulevya.
Spika Mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania kuacha tabia kutothamini mafanikio au juhudi za watu mbalimbali wanazozionesha katika taifa hasa katika sekta ya biashara, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa Chakula katika Taarafa ya Pandambili Iliyopo njia Kuu ya Kutoka Dodoma Owenya Morogoro.
Amesema "Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu."
Chanzo: GlobalTV
Spika Mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania kuacha tabia kutothamini mafanikio au juhudi za watu mbalimbali wanazozionesha katika taifa hasa katika sekta ya biashara, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa Chakula katika Taarafa ya Pandambili Iliyopo njia Kuu ya Kutoka Dodoma Owenya Morogoro.
Amesema "Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu."
Chanzo: GlobalTV
Heee ameibuka
Spika Mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amewataka Watanzania kuacha tabia kutothamini mafanikio au juhudi za watu mbalimbali wanazozionesha katika taifa hasa katika sekta ya biashara, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa Chakula katika Taarafa ya Pandambili Iliyopo njia Kuu ya Kutoka Dodoma Owenya Morogoro.
Amesema "Kijana anza kufanya biashara halali, kazi ni kazi, achaneni na yule anayesema watu wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye, yule anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa, sasa ule si wenzawazimu tu."
Chanzo: GlobalTV
Suala la afya ni sawa lakini Wataalamu wanaweza kutoa tathmini Waendesha Bodaboda wanatakiwa wachukuaje tahazari. Wapewe Km wanazotakiwa kutembea kwa siku ? Jambo ambalo linafikirisha utekelezaji wake.Swala sio kukwepeka, je kazi hiyo na afya zao ni sawa?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Dah, hii nchi CHAWA mnainajisi! Yaani Kauli ya Lema imekuwa ni ASALI kuliko ya Ndugai !!!? DahUnafiki unamsumbua Sana huyo mzee
Yote hayo ni kutowajibika kwa wazazi, serikali katika kuwekeza katika elimu bora, viwanda na ajiraSuala la afya ni sawa lakini Wataalamu wanaweza kutoa tathmini Waendesha Bodaboda wanatakiwa wachukuaje tahazari. Wapewe Km wanazotakiwa kutembea kwa siku ? Jambo ambalo linafikirisha utekelezaji wake.
Serikali ilichelewa kutoa muongozo mapema juu ya hizo vitu. Na sasa sioni mbadala wa bodaboda, imechukua vijana wengi sana ambao kama zisingekuwepo boda kitaa kungekuwa na makundi kibaa ya Panya Rodi na Panya Kalowa.
Kwa iyo mnamaanisha machinga,bodaboda na sisi wakulima wote tumelaniwa ee huu ndo msimamo wa CHADEMA kwa wananchi wasio na ajira rasmi TUMELANIWA Maana yake tunalaana.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Ivyo basi CHADEMA hawataki kura za watu waliolaaniwa mjue ivoKama wafanya kazi mazingira magumu kwa afya yako, kazi ambayo hauna uhakika wa kurudi nyumbani, kazi ambayo huna uhakika wa matibabu na wanasiasa wako upande wako, jua kabisa wewe ni daraja
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kazi yenye laana hufanywa na waliolaaniwa au mi sijaelewa. Kwa kazi Nini mtueleweshe watu wa ufipa maana mko very smart tumboniHakuna mahali alisema vijana wa bodaboda wamelaaniwa bali alisema kazi ya bodaboda ni laana,mana haina matumaini na nikazi inayoumiza vijana wengi,job aache unafiki akae kutulia mana ametengeneza taifa la hovyo.
Kubalini tu mmetutukana utatenganisha vp kazi na mtu tuambieni Sasa kazi iliyobarikiwa ni ipi au kuwa Nyumbu wa MbooweAcheni unafki huyo ni spika aliyefurushwa na sio mstaafu... bodaboda hawajalaaniwa ila waliofukuzwa kwenyevyeo ndiyo!
Sasa hivi anafungua vimigahawa navimamalishe huko vijijini? Amakweli roho mbaya hainaga uchoyo hukulipa ustahilicho...
Hata umaskini ni laana walakini maskini sio kwamba wamelaaniwa tatizo bongo akili ndogo zinakalia viti vikubwa kisa mdomo na kujipendekeza
Ipi kazi isio na laana sasaHata mimi naungana na Lema, kazi ya Bodaboda sio ya staha (descent). Ni vile tu kijana anamaliza chuo hana mishe ya kufanya anaingia kwenye shughuli ya Bodaboda. Halafu mbona hatuwaoni watoto wa vigogo wakifanya shughuli za Bodaboda, walau hata mtoto wa DC.