Job Ndugai: Anayesema vijana wa Bodaboda wamelaaniwa labda amelaaniwa yeye

Alistaafu lini na wapi?Anaigomea laana?Atapata laana.
 
Maisha kweli ni kupanda na kushuka.

Leo Ndugai wa kupita kufungua vimigahawa!!! Baadaye ataishia kufungua magenge ya makongoro. Hana la kufanya.
 
Dah kweli masiku yanakimbia kwa kasi sana aisee
 
Jobu Ndugai mgogo halisi! Anaakili njema kuliko Lema

Lema wa kabla ya kupanda pipa kwenda ughaibuni, alikuwa mtu sahihi! Sielewi huyu aliyerudi, sijui kimerudi kimvuli Chake na Lema halisi kubaki huko Canada!! 🤗
Mwenye akili aliyefurushwa uspika kwa sababu ya akili mbovu?
Unaleta mipasho kama mke mwenza hakuna mgogo mwenye akili kumzidi Lema, wagogo wenyewe akina kibajaji na Lemutuz kubwa jinga
 
Hakuna mahali alisema vijana wa bodaboda wamelaaniwa bali alisema kazi ya bodaboda ni laana,mana haina matumaini na nikazi inayoumiza vijana wengi,job aache unafiki akae kutulia mana ametengeneza taifa la hovyo.
Huyu mshenzi asiye na uti wa mgongo si wa kumfuatilia! Ni jinamizi fulani hv! anyway tayari anatumikia adhabu yake dduduguy asiye na vidole vya miguu!
 
hili li-used sabufa aache kupindisha maneno kwa masilahi yake, Lema alisema kazi ya boda ni kazi ya laana,siyo kwamba vijana wa boda wamelaaniwa
 
Nyumbu na Bado kumbe inawauma nyie mnavyotukana watu na hii issue lazima mjue nguvu yetu tuliolaaniwa
Hakuna mtu atabishana nawewe unayejing'ang'aniza laana kaa na laana zako mbali asee
 
Wenzetu hawa kuwa masikini kwao ni sifa. Zamani walikuwa wanapenda kuomba omba kila mahali. Ukiwa na utamaduni wa umasikini huwezi kumwelewa lema. Ndugai kawa tajiri kwa kupewa mafao lakini bado ana akili ya masikini
 
Mzee wa..Atake asitake........Tutakuongezeaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 kwisha hbr yake!!!
 
Jobo imechelewa sana ka ukelee wajukuu!
 
Mnachezea nguvu kazi ya vijana wenye nguvu wanaopaswa kujenga nchi kwenye kada kama JWTZ, Polisi, Magereza, JKT nk baadala yake tunawapa kichwa waendeshe bodaboda..

Huku barabarani mnapaswa kuboresha huduma za usafiri na kuwapa nguvu watu kama bolt na ubber na akinamama wenye kuanzia miaka 40, vilema nk ndio wafanye hizo kazi kuendesha bajaj,uber, bolt nk.

Hawa vijana mashababi wote jeshini kama hawana ajira rasmi huko uraiani, huko jeshini, jeshi linapaswa kuwa na viwanda na mashamba yakisasa ya nafaka na vyakula, tuliwatumia vizuri hawa vijana tutakuwa na wapiganaji wakutosha na wazarishaji mali wa moja kwa moja..

Wanasiasa tuache kuwajaza ujinga vijana kwa maslahi binafsi ya siasa zetu na chama chetu huku uhalisia tukiwa tunapoteza manpower hovyohovyo..
 
Kama wafanya kazi mazingira magumu kwa afya yako, kazi ambayo hauna uhakika wa kurudi nyumbani, kazi ambayo huna uhakika wa matibabu na wanasiasa wako upande wako, jua kabisa wewe ni daraja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tatizo vijana wengi wa bodaboda ni walevi wa pombe bangi ugolo nk bofaboda ni ajira nzuri sana kama ikizingatiwa kanuni na sheria za barabarani
 
Bodaboda sio laana lakini ni kazi ya kipuuzi, haina future yoyote
Najaribu kufikiri kwamba, vijana wote wa Bodaboda wangeamua kuacha kazi zao, alafu waingie mtaani wakawa vibaka, Mh.Lema mwenyewe angekwenda police kuomba ulinzi.
Kwahiyo, Mh.Lema ashukuru Mungu kwamba Bodaboda hizo zinawaingizia pesa vijana na wanalisha familia zao na yeye Mh.Lema amerudi Tz vijana walikwenda kumpokea na Bodaboda zao. Wangemuomba pesa kutunza familia zao pale Airport, angetamani kurudi ukimbizini.
 
Yeye mtoto wake anaendesha bodaboda? Tuanzie hapo kwanza.
 
You are right Ndu is hopeless.
 
Huyu kafilisika. Mwacheni tu apumzike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…