Umri ukishaenda wanakuwaga hivyo.Dah!! Jamaa alitabiri nchi inaweza kupigwa mnada ............. na utabiri unataka kutimia kwa kasi ya ajabu mbele ya macho yake!! Inatia huruma mtu mzima kama Mzee Wasira anatetea uozo ili maadam akumbukwe maana njaa si njaa hiyo!!
😤😂😂😂😎
-Kaveli-
Ni mjinga snFaiza amejaa udini sana!
-Kaveli-
Ni mjinga snFaiza amejaa udini sana!
-Kaveli-
Div 0 halafu akaenda kwenye utarishi wa ofisi!Mwenye matokeo ya form IV ya Rais samia sululu tafadhali
Wee kigagula! hamna namna tena ya kuzima moto kwa kupuliza! Ni wa gas huu! Chutama umepuliza gagulo umebaki uchi.Ndugai na wahuni wenzake tumeshawastukia mapema. Tulikuwa tunajifanya kama hatuelewi vile.
Yanajulikana majina kma 300 , tunafahamu huko watu washapanga mpaka Rais, Makamo wake, Waziri Mkuu na cabinet nzima na mpaka makatibu wakuu. KKKT nao wameahidiwa nafasi nyeti. Waislam watatu katika watu 300.
Katika mpango wao eti Rais atawekwa Muislam boya Bashiru. Ili Waislam wanyamaze.
Tutakoma ubishi.
Mhe. Ndugai yuko sahihi kabisa.Swali zuri mkuu.
-Kaveli-
Exactly ✔️Kwamba ujinga wa watz ndiyo mtaji wa wanasiasa?
-Kaveli-
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Wee kigagula! hamna namna tena ya kuzima moto kwa kupuliza! Ni wa gas huu! Chutama umepuliza gagulo umebaki uchi.
Tunajua kuwa mamako kapata Mchepuko uarabuni na juzi kachepuka kachukua usafiri wa kodi zetu na kuacha gheto wazi bila taarifa!
Jiandae ukawe na baba wa kambo arabuni! Utafurahi sana!