Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Huu Ni Wakati Wa Nyani Kumkana MwanayeMbona hajaenda na wabunge wake wale 19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Ni Wakati Wa Nyani Kumkana MwanayeMbona hajaenda na wabunge wake wale 19
Hatari Sana.Huo ni ukuta wa kuweka maombi kwa wote wanaoabudu wawe Jewish au Christian religion. Ila kama Ndugai anaweka maombi kwa ajili ya show off atakuwa amepoteza muda wake
Aibu yako, kenya rais nani?Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Kutesa wapinzani,Atubie makosa yake aliyowatendea watza
Subiria mtatangaziwa leo na kuapishwa hapo hapoAibu yako, kenya rais nani?
Unadhani alijuaje kuhusu mke wa Mnazateti?Kumbe Ndugai ni myahudi?
Wewe Ndugai umeumiza wengi! Unachotakiwa ni kuwaomba radhi watanzania kwa ujumla. Upuuzi wa kumuomba samia nimekosa mimi nimekosa sana au kuegemea kuta za huko uzayuni hazitakusaidia. Laana ya kukatika vidola inafuata ya kutika miguu na kiuno trust me!
Aibu yako mgalatia usio na akili, akili zako kazishika papa huko vatcanSubiria mtatangaziwa leo na kuapishwa hapo hapo
HaaNimekosa Mimi nimekosa sana niliruhusu 19 pasipo utaratibu kufuatwa