Kavaa kofia au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavaa kofia au?
Kabisa, tatizo wengi ni Wajinga na hawataki kujifunza.Bwana weee....
Yani inakera mpaka kinyaa!
Nyerere alikuwa Mkristo lakini alikataa kuwa chawa wa Israeli, akafunga ubalozi wao akawafukuza Wayahudi Tanzania
Samia yuko jeddah kumbe ni mwarabu.Kumbe Ndugai ni myahudi?
Vatican gani ilimpitisha samia?Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Mbona Samia yuko hijja na hujatokwa na povu?Hivi huyu jamaa haoni noma kwa kujifunza nchi za wengine jinsi zilivyo na demokrasia wakati yeye na kayafa yule walikanfamiza demokrasia ndani ya na nje ya bunge. Huyu jamaa Hana akili kabisa anapoenda jerusalemu haini hata noma kwamba yeye ni mweupe kichwani
We uoni anaendana na matakwa ya wakuu wa duniani.Vatican gani ilimpitisha samia?
😂🤣😅😆😁😁😄😃😀Kusafisha nyotaa
😂🤣😅😆😁😄😃😃😀Mbona Samia yuko hijja na hujatokwa na povu?
Huyu dhambi zake hazisameheki
Uchawa wa Wakristo kwa Wayahudi umezidi uchawa wa Waislamu kwa WaarabuWaislamu na uchawa kwa Waarabu.
Huyo ni Yohana aliandika na sio Mungu.Mungu nayemjua mimi anasem Atendaye dhambi ni wa shetani
Mungu sio athumani.dhuluma alizofanya hata achutame uchi miaka miaKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Kwa iyo ndio wamemridhia na Samia?? Hacha uongo wakoUraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Amina MkuHata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.
Utakuwa umewajua juzi wew, em fanya utafute pesa na upate nauli uende huko jerusalem, hakika utakalofanyiwa huko hata ushuhuda humu hutoleta, maana muonacho ktk media ni tofaut na reality, hiyo mijitu mnayoita wayahudi, ni watu wenye roho mbaya, ubaguzi mkubwa, kubwa kulko ushoga kwao ni kipaumbele, jiandae kuolewa
HaaHuyu si ndiye mtu qa kwanza kumwona mke wa Yesu?