Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Slavery mentality, aliyewadanganya hilo taifa ni teule aliwaharibu akili....anyway huna haki ya kumsemea dhambi zake maana nawew unazo zako.Jamaa mjanja. Kaenda kufuata baraka. Jamaa nimeanza kumkubali. Dhambi zake zote zimesamehewa. Nami natamani ningepata iyo fursa. Yani jamaa kabahatika kuwa kama myahudi. Kumbe inawezekana ukawa myahudi.
Hongera sana Job.
STRUGGLE MAN Bwana Utam
Waafrika amkeni, hakuna taifa teule duniani litokanalo na ngozi nyeupe.
Hayo majitu mnayoyapa thamani ya uteule ni majizi kama majizi mengine.
Kufuata Miungu ya wayahudi&waarabu ndio huku mnazidi kuharibikiwa akili kufikiria mambo ya msingi