Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Jobless anaweza toboa mwaka huu kimasihara
 
Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Laila…. Ndio upuuzi wenu low IQ people

Vatican imemuweka nani ikulu?
 
Huo ni ukuta wa kuweka maombi kwa wote wanaoabudu wawe Jewish au Christian religion. Ila kama Ndugai anaweka maombi kwa ajili ya show off atakuwa amepiteza muda wake
Huo ni ukuta wa mawe na zege walijenga wayahudi kujikinga na maadui hauna mahusiano na dhambi zake.

Arudi tu atubu hapa hapa nyumnani. Damu zinamlilia
 
Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Hahaha hiyo ilikuwa coincidence tu. Huo ukuta ulibomolewa na Wababeli na baadaya na warumi na hawakupata madhara yoyote hadi leo ni maghofu tu
 
Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Ngoja niweke kumbukumbu nitakutafuta baada ya uchaguzi.
 
Nyerere alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel na kuwasapoti Wapalestina, CCM wanafiki wamesubiri afe wamefungua ubalozi wao. Wapalestina wamewapiga chini wanachangamkia fursa na kuangalia matumbo yao.
 
Ngoja niweke kumbukumbu nitakutafuta baada ya uchaguzi.
Sio mbali tunza hii.
Pia Obama atarudi tena kuwa raisi wa USA kwa vipindi viwili tena.
Yeye sio wa kwanza kumaliza mda wake na kurudi tena.
Obama ni mtu mzuri Sana kwenye kutimiza ajenda zao maana ni mwanachama wao na anazijua siri za dunia.Pia umri unamruhusu kugombea tena.
 
Nyerere alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel na kuwasapoti Wapalestina, CCM wanafiki wamesubiri afe wamefungua ubalozi wao. Wapalestina wamewapiga chini wanachangamkia fursa na kuangalia matumbo yao.
Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.
Inatakiwa waachie ile ardhi au wakubali kuwa chini ya utawala wa Waisrael
 
Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.
Inatakiwa waachie ile ardhi au wakubali kuwa chini ya utawala wa Waisrael

Ardhi yao vipi wakati viongozi wao wengi walizaliwa Ulaya? Ben Gurion waziri mkuu wa kwanza kazaliwa Poland. Kawakuta Wapalestina pale.
 
Ardhi yao vipi wakati viongozi wao wengi walizaliwa Ulaya? Ben Gurion waziri mkuu wa kwanza kazaliwa Poland. Kawakuta Wapalestina pale.
Ardhi yao ya asili ni Palestine.Soma historia ya Wayahudi.Ulaya walipeleka akili za maendeleo,wao ndio wameijenga ulaya na USA.
 
Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.
Inatakiwa waachie ile ardhi au wakubali kuwa chini ya utawala wa Waisrael
Tatizo hili linaanzia mbali kidogo,Wayahudi wengi walikimbia baada ya kupigwa na majeshi ya kirumi,matokeo yake wakakimbilia Ulaya hasa mashariki,na baadhi ya maeneo ya Asia. Kuanza kuanguka kidogo kidogo kwa dola ya kirumi ndio kuibuka kwa Himaya ya Mongolia,baadae Ottoman.
Sasa miaka ya baadae Mwingereza nae akaja mashariki ya kati na kuchora ramani upya,pia kuanguka kwa Himaya ya Ottoman kukafanya baadhi ya nchi zianze kujijenga upya na kuundwa nchi mpya zingine kama Saudi Arabia.
Hapa tatizo ni mipaka,waliochora mipaka hawakufuata mipaka ya asili ndio maan miji kama Bethlehem,Yeriko na Hebron kapewa Mpalestina ila mgogoro ni ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Mji wa Yerusalem. Huo ukuta ndio kumbukumbu yao iliyobaki,Hekalu halipo tena,Sanduku la Agano halipo tena.
 
Back
Top Bottom