Aisee, eti kipenzi au mtesaji wa wengi?Asisahau kumuombea kipenzi cha watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, eti kipenzi au mtesaji wa wengi?Asisahau kumuombea kipenzi cha watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli.
Jobless anaweza toboa mwaka huu kimasiharaKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Huo ni ukuta wa kuweka maombi kwa wote wanaoabudu wawe Jewish au Christian religion. Ila kama Ndugai anaweka maombi kwa ajili ya show off atakuwa amepoteza muda wake
Laila…. Ndio upuuzi wenu low IQ peopleUraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Yule hata angeshinda Dovutwa angekuja. Alitarajia ashinde Lowasa pia angekuja so hana influence ya nani awe raisJiulize why TB joshua alikuja
Ni Yoabu kweli au Adunia mtoto wake aliyetaka kumpindua Sulemani?Unabii wa Lema, upo pale pale! Hata Yoabu alikimbilia kushika pembe za madhabahu, Sulemani akasema “kamoigeni huko huko!”
Huo ni ukuta wa mawe na zege walijenga wayahudi kujikinga na maadui hauna mahusiano na dhambi zake.Huo ni ukuta wa kuweka maombi kwa wote wanaoabudu wawe Jewish au Christian religion. Ila kama Ndugai anaweka maombi kwa ajili ya show off atakuwa amepiteza muda wake
Hahaha hiyo ilikuwa coincidence tu. Huo ukuta ulibomolewa na Wababeli na baadaya na warumi na hawakupata madhara yoyote hadi leo ni maghofu tuKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Ngoja niweke kumbukumbu nitakutafuta baada ya uchaguzi.Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Anadaiwa na nani?Anadaiwa bil.8
Sio mbali tunza hii.Ngoja niweke kumbukumbu nitakutafuta baada ya uchaguzi.
Kaanzia kule labdaHuo ni ukuta wa mawe na zege walijenga wayahudi kujikinga na maadui hauna mahusiano na dhambi zake.
Arudi tu atubu hapa hapa nyumnani. Damu zinamlilia
Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.Nyerere alivunja uhusiano wa kibalozi na Israel na kuwasapoti Wapalestina, CCM wanafiki wamesubiri afe wamefungua ubalozi wao. Wapalestina wamewapiga chini wanachangamkia fursa na kuangalia matumbo yao.
Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.
Inatakiwa waachie ile ardhi au wakubali kuwa chini ya utawala wa Waisrael
Ardhi yao ya asili ni Palestine.Soma historia ya Wayahudi.Ulaya walipeleka akili za maendeleo,wao ndio wameijenga ulaya na USA.Ardhi yao vipi wakati viongozi wao wengi walizaliwa Ulaya? Ben Gurion waziri mkuu wa kwanza kazaliwa Poland. Kawakuta Wapalestina pale.
Tatizo hili linaanzia mbali kidogo,Wayahudi wengi walikimbia baada ya kupigwa na majeshi ya kirumi,matokeo yake wakakimbilia Ulaya hasa mashariki,na baadhi ya maeneo ya Asia. Kuanza kuanguka kidogo kidogo kwa dola ya kirumi ndio kuibuka kwa Himaya ya Mongolia,baadae Ottoman.Ile ni ardhi ya waisrael wapalestine sio kwao walivamia pale.
Inatakiwa waachie ile ardhi au wakubali kuwa chini ya utawala wa Waisrael
Kwani haukufuatilia alivyoueleza umma namna alivyomshuhudia "mke wa Yesu" mitaa ya Yudea?😝😝😝😝😝😝Kumbe Ndugai ni myahudi?