Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Hata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.
Well said
 
Mwambieni akitoka huko aende na Vatican na Kwa mrithi wa TB Joshua ila kamwe hawezi kuwa tena Spika wala Rais wa Nchi hii.
 
Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Hicho kinachotokea hapo ni upepo wa baitul maqdis upande wa pili.Kwa sababu kwa mayahudi hakuna baraka yoyote.Na ukitaka majibu ya uhakika ni lazima uende alkaaba iliyopo Makkah.Kuna ndugu yangu alikata tamaa kupata watoto.Alipokwenda Makkah na kumshtakia Mungu sasa ana watoto wa,mejaa nyumba.
 
Ni Yoabu!, 1 Wafalme 2: 28 - 35!
Asante mkuu. Ni pale aliposhirikiana na Adunia kumwapisha badala ya Seleman aliyeandaliwa na Baba yake Daudi.

Huyu Yoabu alikuwa kama Bashite mbele ya Daudi. Hadi Daudi mwenyewe alikuwa anamwogopa sana.
 
Hicho kinachotokea hapo ni upepo wa baitul maqdis upande wa pili.Kwa sababu kwa mayahudi hakuna baraka yoyote.Na ukitaka majibu ya uhakika ni lazima uende alkaaba iliyopo Makkah.Kuna ndugu yangu alikata tamaa kupata watoto.Alipokwenda Makkah na kumshtakia Mungu sasa ana watoto wa,mejaa nyumba.
Umesahau hata Mtume Muhammadi alikuwa anasafiri kwa mguu kutoka Madina kwenda kuhiji Yerusalem?
 
Hao ndio wanakula mema ya nchi bwana,kiinua mgongo cha uspika karibu 80% na za ubunge bado zinaingia,haya bwana acha wafaidi keki ya taifa wenyewe
 
Hata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.
Wewe ndo mtoaji wa hukumu?
 
Back
Top Bottom