Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
He is making himself "close to the gods".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is making himself "close to the gods".
Utajuaje ni 'wivu', wakati hata maana ya neno lenyewe huijui?Acha wivu wa kike
Akitubu ni lazima atasamehewa
Well saidHata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.
ameenda kwenye maungamo kupata sakramenti ya kitubio,baada ya kuona nabii lema anamuandama sana akaona asipuuzie
Ni Yoabu!, 1 Wafalme 2: 28 - 35!Ni Yoabu kweli au Adunia mtoto wake aliyetaka kumpindua Sulemani?
Hicho kinachotokea hapo ni upepo wa baitul maqdis upande wa pili.Kwa sababu kwa mayahudi hakuna baraka yoyote.Na ukitaka majibu ya uhakika ni lazima uende alkaaba iliyopo Makkah.Kuna ndugu yangu alikata tamaa kupata watoto.Alipokwenda Makkah na kumshtakia Mungu sasa ana watoto wa,mejaa nyumba.Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Asante mkuu. Ni pale aliposhirikiana na Adunia kumwapisha badala ya Seleman aliyeandaliwa na Baba yake Daudi.Ni Yoabu!, 1 Wafalme 2: 28 - 35!
Umesahau hata Mtume Muhammadi alikuwa anasafiri kwa mguu kutoka Madina kwenda kuhiji Yerusalem?Hicho kinachotokea hapo ni upepo wa baitul maqdis upande wa pili.Kwa sababu kwa mayahudi hakuna baraka yoyote.Na ukitaka majibu ya uhakika ni lazima uende alkaaba iliyopo Makkah.Kuna ndugu yangu alikata tamaa kupata watoto.Alipokwenda Makkah na kumshtakia Mungu sasa ana watoto wa,mejaa nyumba.
Sio kweli .Alikuwa akisafiri kwa miguu kutoka Madina kwenda Makka kwa ajili ya hija.Umesahau hata Mtume Muhammadi alikuwa anasafiri kwa mguu kutoka Madina kwenda kuhiji Yerusalem?
Kwani Al-Aqsa ilipataje utukufu?Sio kweli .Alikuwa akisafiri kwa miguu kutoka Madina kwenda Makka kwa ajili ya hija.
Wewe ndo mtoaji wa hukumu?Hata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.