Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Hii ni baada ya kupigwa ngumi ya chembe? Ameamua kwenda zake kwao kusalimia wana bethrehemu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni baada ya kupigwa ngumi ya chembe? Ameamua kwenda zake kwao kusalimia wana bethrehemu?
Utukufu wa Alaqsa umo kwenye kitabu kitakatifu cha Qur'an (Alisraa :1). Huo utukufu wa ukuta wa kulia lia sijui upo wapi ?.Washirikina ndio wanaopenda kwenda hapo.Kwani Al-Aqsa ilipataje utukufu?
Unamuomba msamaha Mwenyezi Mungu na mtu mwenyewe na umrudishie kitu chake au umwambie ulichomuibia kama hakumbuki tena.Akitaka atakusamehe au akipenda atataka kitu chake au thhamani yake.Kwa hakika Uislamu ni dini haki kweli .Katika Doctrine za Kikristo iko hivyo, ambayo ni tofauti na Islamic Doctrine
In Islam ukifanya dhambi kama ya kutosali au kutofunga hapo UNAWEZA kuomba msamaha/toba Allah akakusamehe kwa sababu hiyo dhambi ni kati yake na wewe
Ila dhambi yoyote ambayo inahusisha haki ya mtu mwingine hiyo lazima umuombe msamaha Mungu mwenyewe pamoja na mtu ambaye haki yake inahusika ktk dhambi hiyo
Kama umedanganya au umeiba ili usamehewe pamoja na kumuomba Mungu msamaha, lakini haukamiliki mpaka umuombe msamaha yule uliyemuibia/uliyemdanganya
Katika Doctrine ya Kikristo mtu kama Hitler anaweza akamalizana na Mungu bila kujali Wahanga aliyowalostisha
Kama hujatunza afya kazi bure wema wake hua unajifichaMungu ni mwema wakati wote
Hapo inaaminika hata ukiomba uraisi unapata
anachezea hela zetu huyu mtu anavorudi ndege ipotee kabisa Kama tuone nae atapona Kama MWEZAKE Lisu
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] imani ni jambo la ajabu sana. Yaani na wewe kabisa unaamini ulichokiandika?Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Hata wataliano wenyewe hawauombi uongozi wa nchi kutoka Vatican !!Yani umeongea kitu ambacho ni obvious. Ni ujinga
North Korea, Iran, Venezuela, China, etc wanaomba Urais Vatican
Wakienda huko wanaweza wakashinda Uchaguzi wa 2025 ??tuchangishane tuwapeleke Chadema huko
Wewe unafahamu hali halisi, ulichoandika ndio ukweli !!Wanaosali hapo siyo Wakristo.. Wakristo wengi ni Wapelestina na wapo Bethlehem ambayo imo ndani ya Palestina. Wayahudi sio Wakristo.
Hapo sasa !Hivi Vatican ndio walituletea jpm?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. bwege kwel weweKaenda ku bargain bei ya kutuuza
Subiria tarehe 10 august sio mbali tuna mwezi mmoja tu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] imani ni jambo la ajabu sana. Yaani na wewe kabisa unaamini ulichokiandika?
Sasa inakuwaje kwa wale wanaenda kuungama kwa viongozi wa dini na kusamehewa makosa yao bila ya kupatana kwanza na ndugu zao waliowakosea. Inamaana work done is equal to zero?Hata akitubu vipi. Dhuluma alizo mfanyia Lissu na Watanzania kwa ujumla kwa kuiba kura na covids hakuna jinsi Mungu ata punguza hasira juu yake.
Arudi kwanza kwa Watanzania kuomba msamaha ndipo aka tubu kwa Mungu
Hata maandiko yana sema kapatane kwanza na ndugu yako.
Atakuja na stori ya kwamba mkewe ameshajifungua.jama jamaa ohoooo[emoji849][emoji849]alivyoenda mara ya kwanza sio ndio alisema kuwa Yesu alioa[emoji24]nahofia akirudi kipindi hiki atakuja na stori gani tena jamani..doooh
Anamlilia Mungu ili nchi yetu isipigwe mnada.
Ndugai, soon ataibuka mshindi ktk hii battle.
Spika mstaafu? Haijakaa sawa, alistaafu?
Waislamu na uchawa kwa Waarabu.Wakristo na "Uchawa" kwa Wayahudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana weee....Wakristo na "Uchawa" kwa Wayahudi🤣🤣🤣🤣