Sasa mkuu ulitegemea majibu ya aina gani kwa mtu aliyekua anasimamia mhimili wa bunge ambae nae alimpiga gongo la kichwa mgombea mwenzake mpk akazimia then suala la Mbowe kushambuliwa yeye atashangaa nini sasa mkuu?Maana kama ni suala la kutoa kichapo yeye ndio master.Yani anafanya kumuattack tu mbowe kila swali analoulizwa, mara hakupigwa alianguka ni story nilizosikia yani anaongea naye hana uhakika. Mara alilewa chakali
Sema Spika mstaafu!Spika anaharibu. Anaongea kwa chuki. Hajui kwamba anaharibu! Anaulizwa kwa nini Naibu Spika asitoke upinzani, yeye anamuongelea Mbowe! Shame! Shame!
Mbowe hakushambuliwa ila alilewa akaanguka na kuteguka mguuSasa mkuu ulitegemea majibu ya aina gani kwa mtu aliyekua anasimamia mhimili wa bunge ambae nae alimpiga gongo la kichwa mgombea mwenzake mpk akazimia then suala la Mbowe kushambuliwa yeye atashangaa nini sasa mkuu?Maana kama ni suala la kutoa kichapo yeye ndio master.
Bado anatumia usafiri wa spika ina maana bado ni spika huyo au kajirudishia gari kama alivyorudisha ubunge wa mwambe?Sema Spika mstaafu!
Vipi waliomuwekea Sumu Mangula mlishawapata?Mbowe hakushambuliwa ila alilewa akaanguka na kuteguka mguu
Uspika haukomi hadi bunge lijalo amkabidhi kiti spika ajayeHuyu aliyekuwa spika hamna kitu
Halafu bunge si limevunjwa mbona bado anatumia gari la spika au yeye ubunge wake haujakoma?
Spika kwa jinsi anavyoongea hawezi kuwa mwamuzi wa haki. Ana chuki binafsi na iliyokuwa kambi rasmi ya upinzani . Anawabeza na kuwadhalilisha tu.Natazama 360 clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari.
Kamuuliza kuhusu ulinzi wa Mbowe
Ndiyo wapo jela muda huuVipi waliomuwekea Sumu Mangula mlishawapata?
Walihukumiwa na mahakama gani?Ndiyo wapo jela muda huu
Hilo gari ukistaafu unaondoka nalo.Bado anatumia usafiri wa spika ina maana bado ni spika huyo au kajirudishia gari kama alivyorudisha ubunge wa mwambe?