Job Ndugai: Sijawahi kumjulia hali Tundu Lissu kwani ananiona kama shetani | Mbowe asikimbilie Urais kuficha aibu ya kushindwa Ubunge

Huyu aliyekuwa spika hamna kitu

Halafu bunge si limevunjwa mbona bado anatumia gari la spika au yeye ubunge wake haujakoma?
Yeye bado ni spika hadi hapo atakapochaguliwa spika mwingine, bunge limevunjwa lakini nafasi ya spika inabaki hivyo.
 
Hii inadhihirishwa kuwa CCM mi Chama Cha Mashetani. Mwambie kuwa 40%ya waliochukua fomu urais wa ccm 2015waligombea ubunge.Inakuwaje spika hajui vitu vyepesi Kama hivi.Kweli ccm ni utopolo
 
Kwahiyo kwenye urais hakuna aibu ya kushindwa?
Dah shetani bwana.
 
Huyo ni kiongozi anaongoza Bunge la Tanzania. Poleni sana waTanzania; Job hajui kuwa mh Rais anamwona kama Shetani na bado anampigia na simu.
 
Aisee nimesikiliza mahojiano...anyway tumuombe mungu tupate kiongozi mwingine bunge lijalo!

Hongera yule mwanadada atleaset alikuwa na maswali mazuri!
 
Nadhani huyu mheshimiwa kabisa hakufaa kuwa spika wa bunge, upeo wake na busara zake zipo kidogo japo nasikia ni msomi, ndio pale tunasema unaweza kwenda shule lakini ukabaki na uzwazwa wako kama zamani tu.
 
Mbowe atuambie alimfanya nini Ndugai pale Kibaha sec?!
 
Ni kweli kabisa Mbowe akigombea ubunge ataaibika vbya Bora ajifiche huko huko kwenye urais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…