Yeye bado ni spika hadi hapo atakapochaguliwa spika mwingine, bunge limevunjwa lakini nafasi ya spika inabaki hivyo.Huyu aliyekuwa spika hamna kitu
Halafu bunge si limevunjwa mbona bado anatumia gari la spika au yeye ubunge wake haujakoma?
Kwahiyo kwenye urais hakuna aibu ya kushindwa?Akiwa katika 360 ya Clouds Media, Job Ndugai amesema toka Tundu Lissu apate lile tukio la kupigwa risasi hakuwahi kumpigia simu yeye binafsi ya kumjulia hali kwani anajua Tundu Lissu anamuona Ndugai kama shetani. Hivyo Job Ndugai haoni sababu ya kumpigia simu mtu anayemuona yeye ni shetani.
Sambamba na hilo,pia Ndugai amemtaka Mbowe aache kukimbilia kwenye urais kama kichaka cha kukwepa aibu ya kushindwa vibaya kwenye ubunge. Ndugai anaamini kuwa Mbowe amekimbilia kwenye urais baada ya kuona ubunge hawezi kushinda.
This is nonsense 100%
Na bora asiwe shetani maana kule chamani aliko kuna 'yesu' atamkemea mpk mapepo yataisha.Na kumbe yeye sio shetani??
Kwahio yeye ndio Malaika Gabriel?? Ziraili? Au Malaika Lucifa?Na bora asiwe shetani maana kule chamani aliko kuna 'yesu' atamkemea mpk mapepo yataisha.
Mbowe atuambie alimfanya nini Ndugai pale Kibaha sec?!Akiwa katika 360 ya Clouds Media, Job Ndugai amesema toka Tundu Lissu apate lile tukio la kupigwa risasi hakuwahi kumpigia simu yeye binafsi ya kumjulia hali kwani anajua Tundu Lissu anamuona Ndugai kama shetani. Hivyo Job Ndugai haoni sababu ya kumpigia simu mtu anayemuona yeye ni shetani.
Sambamba na hilo,pia Ndugai amemtaka Mbowe aache kukimbilia kwenye urais kama kichaka cha kukwepa aibu ya kushindwa vibaya kwenye ubunge. Ndugai anaamini kuwa Mbowe amekimbilia kwenye urais baada ya kuona ubunge hawezi kushinda.
This is nonsense 100%
kwahiyo job amejuaje Lisu anamuona ni shetan
Kwasababu rafiki wa shetani ni shetaniKwanini Lissu amuone kama shetani?
Unataka kutuambia Ndugugay hana marinda?Mbowe atuambie alimfanya nini Ndugai pale Kibaha sec?!