Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Aache kutafuta visingizio akiri tu alikosa utu na huo ndio ushetani wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hai hakuna mtu wa kumpiga chini Mbowe, wanampenda sana jamaa. Itokee tu NEC ifanye yake kama walivyozoea lakini kwa Hai hakuna wa kumpiga chini Mbowe.Ni kweli kabisa Mbowe akigombea ubunge ataaibika vbya Bora ajifiche huko huko kwenye urais
Uyu mzee ana elimu gani?Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari...
Nadhani huyu mheshimiwa kabisa hakufaa kuwa spika wa bunge, upeo wake na busara zake zipo kidogo japo nasikia ni msomi, ndio pale tunasema unaweza kwenda shule lakini ukabaki na uzwazwa wako kama zamani tu.
Hakika mkuu.Inanikumbusha Headmaster wa shuleni. Alikua akisema : There’s a difference between going “to” school and going “through” school!
Ndiyo alivyo, nashangaa kama watu walitarajia kusikia jambo la msingi kutoka kwa Ndugai..Spika anaharibu. Anaongea kwa chuki. Hajui kwamba anaharibu! Anaulizwa kwa nini Naibu Spika asitoke upinzani, yeye anamuongelea Mbowe! Shame! Shame!
Yeye bado ni spika hadi hapo atakapochaguliwa spika mwingine, bunge limevunjwa lakini nafasi ya spika inabaki hivyo.
Hii Interview ya Leo 360 wamejua kuitendea haki..
Ndugai anaulizwa maswali anajibu ambacho hakuulizwa.. Anakazana na Mbowe.. Mbowe na Kundi lake.
Hassana Ngoma mwishoni anamuuliza Bunge lake limekuwa kama linakandamizwa na Serikali na Bunge ni Mhimili unaojitegemea.. Anajibu eti kipindi chake cha Bunge wamefanikiwa kutengeneza kumbi za mikutano hapo hapo Bungeni na siyo kwenda UDOM au CBE Kama miaka ya nyuma.. Pia wameweka na lifti kwenda Ghorofa ya Nne..Swali analoulizwa na Majibu ni tofauti.. Hadi Aibu...
Sent using Jamii Forums mobile app
kataja mbowe alikuwa mlevi ataje pia zile fedha zetu za india zilitumika kwa ugonjwa gani!Hivi polisi si bado wanaendelea na uchunguzi mbona Job kakomaa alianguka sababu ya ulevi!
Hoja nyingine bwana unacheka hadi basi. Mtu mzima anauliza eti mtumishi kalipwa mshahara au sema mfanyakazi kaachishwa kazi unauliza eti kalipwa mafao??????Kumbe Tundu Lissu amelipwa mafao
Mmm! kumbe mwezi wa 10 siyo mabaliNatazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari...
Akiitisha hicho kikao cha dharula wanahudhuria akina nani kwa mujibu wa katiba?Ni kweli kabisa. Aidha Spika anaweza kuitisha kikao cha Bunge la dharula kama kutakuwa na jambo linalohitaji maamuzi ya Bunge. Yeye bado ni Spika mpaka atakapopatikana Spika mwingine wa Bunge lijalo.