Trump Ana Bull Dozer, Vifaru, Mizinga Lakini Anaondoka White House Kwa Amani Akikubali YaliyotokeaWako mbali sana hawa jamaa
Tumsikilizie huyu babu kiwa naye atawaacha madikteta wapumue?China watapumua sasa, nimeumia sana kidogo utawala wa Trump alikuwa akipambana na madikteta na magaidi
Biden hata Mimi naona hawezi gombea second termBiden wala hakuwa candidate mzuri.
Candidacy yake iliokokewa na Rep. Jim Clyburn wa SC.
Anasumbuliwa na uzee. Hilo ni kweli.
Katika mazingira ya kawaida, Biden wala asingevuka primaries.
Na Biden wala hatogombea muhula wa pili.
Ni Rais wa mpito tu.
Maoni yangu kuhusu Biden hayajabadilika.
Sasa sina uhakika kama unavyonifuatiliaga huwa unaelewa ninachokiandika.
Mfano, hiki nilichokiandika hapa umekielewa?
Unaweza kumfananisha Trump na huyu wa kwetu hapa Tz?Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.
Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.
Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Daaah sisi tulishaondoka siku nyingi na JK. Tukawaachia nchi nyie. Tupo msoga tu tunakula mananasi na matikiti.Mkuu Ritz upo? Hongereni sana kwa ushindi wa kishindo!!
Siujui na wala sijali.Mkuu unaweza kunisaidia kuelewa ni upi mtazamo wa Joe katika nchi za Afrika?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Yameumbuka!Acha kabisa hawa jamaa!! Ajabu eti Lumumba wameumia kuona yaliyotokea manake walitarajia kusikia uhuni waliofanya wao ukifanyika US ili wapate cha kusema!!
Yalitamani kuona wale waliokuwa wakifanay protest waanze kupigwa mabomu ili yaseme hata kwa mabeberu ukiandamana unapigwa mabomu!!!
Kwenye hili ni true, but chama hichi kinaudhi sana kutetea ushoga si unakumbuka obama mambo yakeDemocrats hawana mzaha kwa ishu za demokrasia. Magu ajiandae
mipasho gani hiyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila inaonekana ana nature ya ukauzu + ubabe.maana kuna siku alikuwa anamshika mkewe mkono akawa anakataa!! tena hadharani mbele ya kameraTrump sa hii anakusanya mabegi na masufuria aondoke zake jumba jeupe.
Ila nitamiss sana mipasho yake huyu babu ana maneno. Yani alishaleta chokochoko hadi kwa wazungu wenzie wa ulaya huko[emoji3]
Nani aliua watu weusi hovyo?Vip kuhusu kuua watu weusi hovyo nayo ni democrasia.?
Huna haja ya kuumia Kaka. Biden will NOT be sworn in as the 46th President. That will not happen. Trump anajiandaa kwenda mahakamani. Kapigwa faulo nyingi sana kwenye uhesabuji wa kuraNimeumia mno, ila ndo hivyo tujipange 24
Wekeza kwenye mda. Mchakato ndo umeanza. Kuna miezi miwili mbeleMgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!
Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!
Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.
Biden kapata kura milioni 74.
Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.
Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.
Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Huna uelewa wowote juu ya sera za Repulican vs Democrat huko US. Sera za Republican ni kutoingilia sana mambo ya nchi nyingine wakati Democrat hujihusisha sana na demokrasia ya Dunia.Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.
Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.
Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.
Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.
Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.
Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Si rahisi kihivyo vinginevyo atasababisha maandamanoHuna haja ya kuumia Kaka. Biden will NOT be sworn in as the 46th President. That will not happen. Trump anajiandaa kwenda mahakamani. Kapigwa faulo nyingi sana kwenye uhesabuji wa kura
Obama mwenyewe kayakuta. ofcourse hiyo issue ni tayari ilishakuwa sheria ya nchi before akina obama.Kwenye hili ni true, but chama hichi kinaudhi sana kutetea ushoga si unakumbuka obama mambo yake
Hiyo sheria imeandikwa wapi? Embu acha conspiracy theory za kijinga. Nyie wenye iman za ajab ajab ndio mnafanya afrika tuonekana wapumbavu.Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua Freemasons
Oky mkuuWhy not?
Nothing is impossible.
Tangu lini Chama cha Demoghasia & Maombolezo kikafanya maandamano ya amani; mnachojua nyie ni posho na ruzuku, mbali na hapo ni kutengeneza matukio na vurugu. Aliyewaingia akilini wananchi wazalendo mpaka wakaamua kuwakataeni kwenye ballot box anafaa tuzo ya heshima.Unajua nyie watu ndo maana mmebaki kupigia makofi hata kwa mambo ya kijinga kwa sababu HAMUELEWI!!
Sasa hapo aliyepata jibu ni mimi au wewe au unayechanganya maandamano ya kawaida na maandamano yanayoambatana na vurugu kiasi cha kuhatarisha amani?!
Uongo. Utakuwa umeghilimishwa ubongo kwa kusoma vibaya ama kufuatilia kupindukia vyombo vya habari vya Sayari ya Pita-Juu.Kuna wananchi wanaolalamika juu ya mwenendo wa uchaguzi wa Marekani?
Kama sio Trump na wanae pekee ambao wote wana hulka ya kibri na jeuri.
Huku Bongo kura feki zilikamatwa kibao mitaani tofauti na Marekani hata kura iliyoharibika tu hakuna.
Wanasheria/Wasaidizi wake wameshindwa kwenda mahakamani kwakuwa hawana ushahidi wa malalamiko ya boss wao sasa unaenda kufanya nini mahakamani?
Ingekuwa Trump yupo Bongolala angeshinda kwa kishindo kikuu cha 84.4%.