Uingereza nayo ni Vilaza mbona Wanawake wameshika nafasi za Uongozi.Hii ni ramli isiyokuwa na msingi. Subiri kwanza. Usidhani huko nako wamejazana vilaza kama huku kwetu.
HahaaaaAlianza kuwa km Lowassa
Unataka li Trump limpige busu hadharani?CNN International wana cover hiyo new now, tutegemee mama VP akipewa nchi?
And how did 1968 turn out for the Dems…?It is an open convention. Reminisce of 1968. Nancy Pelosi is a very powerful women. She single handedly pulled all strings for him to stand down. Kamala can't win against Trump. They need a man. Gavin is too liberal, Wes is new to his job and Ptziker isn't a presidential material although he has money he can tap in. Gavin knew what he was doing when he debated Des Santis last year. Introducing himself to the voters across the 50 states.
Never jump into a conclusion. Give it a little bit of time.Kwa sasa hakuna wa kumpa changamoto Trump
Trump moja kwa moja White House
Jikite kwenye mada husika, usianzishe uzi ndani ya uzi, Kuna nyuzi zaidi ya 10 zimeanzishwa na uvccm za Mbowe must go, sasa na huu wa Biden nao bado mnataka kuchomeka hayohayo?Sio kwamba tunazungumzia uongozi?
Wewe si ndio umeanzisha uzi ndani ya uzi? Au umesha sahau? Uzi unahusu Biden ila wewe ukataja Rais mwingine kabisa! Au wakati una comment akili zako ulikua umeziweka mfukoni?Jikite kwenye mada husika, usianzishe uzi ndani ya uzi, Kuna nyuzi zaidi ya 10 zimeanzishwa na uvccm za Mbowe must go, sasa na huu wa Biden nao bado mnataka kuchomeka hayohayo?
Imesemwa wapi au unataka kutuletea mila na desturi za waarabu wa kale.Mwanamke hafai kuwa kiongozi
Wewe mwenyewe hapo unatawaliwa na mwanamke.Mwanamke hafai kuwa kiongozi
Duuu watu mna majibu ya kukata mainiWewe mwenyewe hapo unatawaliwa na mwanamke.
SIO KWELI. 👇Kamala maemloga biden
Trump ni popular kwa MAGA tuu sio kwa watu wenye akili, yeyote atakayesimamisha na Democrats will beat TrumpAnd how did 1968 turn out for the Dems…?
Hamna haiwezakani kwa US kitu kama hicho ,wezetu wanaheshimu demokrasia demokrasia ndio itaamua whom people want,ingawa kwa upepo uliopo wameshaona Trump is whom people want ili kuweka heshima yake vizuri katika historia Mr Biden ameona akae pembeni.Basi kura apewe trump maisha yaendelee