Sawa Mkuu!Usipotoshe. Hajakabidhi kijiti kwa yeyote yule.
Biden endorses Kamala Harris as successor
US President Joe Biden has endorsed his VP Kamala Harris as the Democratic party pick for the upcoming election
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu!Usipotoshe. Hajakabidhi kijiti kwa yeyote yule.
Shetani alishasilimishwa....nilikuuliza swali uliolewa ukiwa na bikra?Shetani mmoja kawachia ngazi, anakuja mwengine.
It is an open convention. The job of unifying the party will be really hard. No moderate figure that can be accepted by the progressive,liberal and few conservative in the party at the moment. It is either they are extreme and no one with ability to drill the middle ground. Progressive on the social dynamic while at least conservative in the economy. Aiming for the future while investing at the moment.Yeah kuna uwezekano kabisa wa wao kuwa na open convention.
I can’t wait to see that.
Electors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.Jibu swali nililouliza,Kama haijawahi tokea haimaanishi haiwezi tokea,na hao electoral college ni deep state,mawakala wa mabepari wanaoamua nani awe rais
Na amefanya endorsement ya VP awe his party nominee kwenye presidential raceKwani kajiuzulu urais ama amejitoa ugombea wa urais
Wanaukumbi.
MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili
Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".
Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.
Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.
Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.
"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".
Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.
Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".
"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.
"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."
Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".
Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
Katupa taulo 😁👋Wanaukumbi.
MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili
Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".
Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.
Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.
Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.
"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".
Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.
Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".
"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.
"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."
Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".
Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Nancy kazeeka sana,siyo rahisi kumteua agombee.Apa labda kama wanataka mwanamke wampe Nancy Pelosi au watafute kijana mwenye nguvu ampe changamoto trump
Endorsement si kumpokeza kijiti mtu.Sawa Mkuu!
![]()
Biden endorses Kamala Harris as successor
US President Joe Biden has endorsed his VP Kamala Harris as the Democratic party pick for the upcoming electionon.rt.com
Kwa sasa hakuna wa kumpa changamoto TrumpApa labda kama wanataka mwanamke wampe Nancy Pelosi au watafute kijana mwenye nguvu ampe changamoto trump
Hii ni ramli isiyokuwa na msingi. Subiri kwanza. Usidhani huko nako wamejazana vilaza kama huku kwetu.Kamala anakuwa Mwanamke wa kwanza kuwa Raisi wa United States.
UsidanganyweKwa sasa hakuna wa kumpa changamoto Trump
Kwamba Amerika kuna mazezeta?Tatizo tunatofautiana Upeo, kama ulikua fan wa JPM sishangai ukiwa fan wa Trump
JPM akipanda jukwaani utasikia tumechezewa vyakutosh "mazezeta yatapiga kelele za furaha"
Trump nae akipanda jukwaani utasikia, America inachezewa na watu, mzezeta yanapiga kelele za furaha
Mark my commentUsidanganywe
And still she exert a lot of influence. She is the reason he is resigning. Jeffrey or Schumer couldn't do it. It is like the influence Mitch McConnel exert on the republican. Although it is a republican party, it is still Mitch doing. The judges, in all the benches are his design. The recruitment of the candidate. Still there are his signature still.Kale kabibi nako kamezeeka Sana.