Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Usipotoshe. Hajakabidhi kijiti kwa yeyote yule.Amekabidhi kijiti kwa VP wake Haris Kamala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipotoshe. Hajakabidhi kijiti kwa yeyote yule.Amekabidhi kijiti kwa VP wake Haris Kamala.
Nope. Na wewe usipotoshe.Ngoja tuwe na subra muda utaamua.
Kumbuka USA kuna watu kama 538 tu ambao huamua nani awe rais bila kujalisha matokeo ya kura za wengi.
Na MKE wa ObamaNa nani?
Huyo si mgombea.Na MKE wa Obama
Trump amepita bila kupingwa maanake!Kujitoa kwenye chama chake au Trump atakuwa peke yake?
Hao 538 Wana maamuzi yao,acha kupotosha,wakiamua kwenda kinyume na unayoita maamuzi ya watu wa majimbo,patakua na namna ya kubatilisha maamuzi yao?!Nope. Na wewe usipotoshe.
Wanaoamua ni raia wa majimbo.
Hao 538 ni wajumbe wa hayo majimbo ambao huwakilisha uamuzi wa raia wa majimbo.
Koma kupotosha watu.
Sio kwamba tunazungumzia uongozi?Tunazungumzia Urais
Kwani kajiuzulu urais ama amejitoa ugombea wa uraisCNN International wana cover hiyo new now, tutegemee mama VP akipewa nchi?
Muongo wewe! Lini hao electors wameenda kinyume na mshindi wa popular vote ya state?Hao 538 Wana maamuzi yao,acha kupotosha,wakiamua kwenda kinyume na unayoita maamuzi ya watu wa majimbo,patakua na namna ya kubatilisha maamuzi yao?!
Mchakato umwvurugika lazima warudi kwenye chama Chao kama katiba yenu inaruhusu huko maana naamini huko hakuna kupitia bila kupingwa. Nameona alnayeweza kupambana kimjini mjini na Trump ni Michelle tuuHuyo si mgombea.
Katema ndoanaWanaukumbi.
MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili
Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.
Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".
Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.
Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.
Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.
"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".
Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.
Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".
"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.
"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."
Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".
Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Yeah kuna uwezekano kabisa wa wao kuwa na open convention.Mchakato umwvurugika lazima warudi kwenye chama Chao kama katiba yenu inaruhusu huko maana naamini huko hakuna kupitia bila kupingwa. Nameona alnayeweza kupambana kimjini mjini na Trump ni Michelle tuu
It is an open convention. Reminisce of 1968. Nancy Pelosi is a very powerful women. She single handedly pulled all strings for him to stand down. Kamala can't win against Trump. They need a man. Gavin is too liberal, Wes is new to his job and Ptziker isn't a presidential material although he has money he can tap in. Gavin knew what he was doing when he debated Des Santis last year. Introducing himself to the voters across the 50 states.Joe Biden kajiondoa kugombea tena urais!!
Jibu swali nililouliza,Kama haijawahi tokea haimaanishi haiwezi tokea,na hao electoral college ni deep state,mawakala wa mabepari wanaoamua nani awe raisMuongo wewe! Lini hao electors wameenda kinyume na mshindi wa popular vote ya state?
Hujui kabisa unaloliongelea.
Kale kabibi nako kamezeeka Sana.It is an open convention. Reminisce of 1968. Nancy Pelosi is a very powerful women. She single handedly pulled all strings for him to stand down. Kamala can't win against Trump. They need a man. Gavin is too liberal, Wes is new to his job and Ptziker isn't a presidential material although he has money he can tap in. Gavin knew what he was doing when he debated Des Santis last year. Introducing himself to the voters across the 50 states.