Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Nope. Na wewe usipotoshe.

Wanaoamua ni raia wa majimbo.

Hao 538 ni wajumbe wa hayo majimbo ambao huwakilisha uamuzi wa raia wa majimbo.

Koma kupotosha watu.
Hao 538 Wana maamuzi yao,acha kupotosha,wakiamua kwenda kinyume na unayoita maamuzi ya watu wa majimbo,patakua na namna ya kubatilisha maamuzi yao?!
 
Wanaukumbi.

MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili

Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine.


Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya chama changu na nchi".

Tangazo hilo linakuja miezi minne kabla ya Wamarekani kwenda kupiga kura na kubadilisha mbio kuelekea Ikulu.

Hii inafuatia wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa wanasiasa wa chama chake baada ya utendaji wa kusitasita katika mdahalo dhidi ya mgombea wa Republican, Donald Trump mwishoni mwa mwezi Juni.

Katika barua aliyoweka kwenye akaunti yake ya mitandao ya kijamii, alisema imekuwa heshima kubwa zaidi ya maisha yake kuhudumu kama Rais.

"Na ingawa ilikuwa nia yangu kugombea tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi nisimame chini na kujikita kikamilifu katika kutimiza majukumu kama Rais kwa kipindi kilichosalia cha muhula wangu".

Alisema katika taarifa yake kwamba atalihutubia taifa kuhusu suala hilo wiki ijayo.

Rais Biden alimshukuru Makamu wake wa Rais Kamala Harris, akisema alikuwa "mshirika wa kipekee".

"Na wacha nitoe shukrani zangu za dhati kwa wananchi wa Marekani kwa imani na uaminifu mliyonipa," taarifa yake iliongeza.

"Naamini leo na daima kwamba hakuna kitu ambacho Marekani haiwezi kufanya - tunapokifanya kwa pamoja. Tunapaswa tu kukumbuka sisi ni Umoja wa Mataifa ya Marekani."

Wiki iliyopita alirudi nyumbani kwake Delaware baada ya kugunduliwa kuwa na Covid, lakini alisema Ijumaa alikuwa akitarajia "kurudi kwenye kampeni wiki ijayo".

Awali alisema ni "Mwenyezi Mungu tu" angeweza kumfanya ajiondoe, lakini baadaye alisema angefikiria kujiondoa kutokana na hali ya afya.
View attachment 3048205
Katema ndoana
 
Joe Biden kajiondoa kugombea tena urais!!
It is an open convention. Reminisce of 1968. Nancy Pelosi is a very powerful women. She single handedly pulled all strings for him to stand down. Kamala can't win against Trump. They need a man. Gavin is too liberal, Wes is new to his job and Ptziker isn't a presidential material although he has money he can tap in. Gavin knew what he was doing when he debated Des Santis last year. Introducing himself to the voters across the 50 states.
 
It is an open convention. Reminisce of 1968. Nancy Pelosi is a very powerful women. She single handedly pulled all strings for him to stand down. Kamala can't win against Trump. They need a man. Gavin is too liberal, Wes is new to his job and Ptziker isn't a presidential material although he has money he can tap in. Gavin knew what he was doing when he debated Des Santis last year. Introducing himself to the voters across the 50 states.
Kale kabibi nako kamezeeka Sana.
 
Back
Top Bottom