Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Kamala anakuwa Mwanamke wa kwanza kuwa Raisi wa United States.
0711-kamala.png
 
Bora amerusha taulo mapema.

Minne tena kwa Trump.
Sio rahisi kihivyo mkuu,kunawatu wandani wenye nguvu hawampendi huyo mzee.

Kujiondoa kwa Biden ndio kunafanya njia ya tramp kuwa ngumu zaidi.
 
wakwetu ni comedy, yaani taifa halina ajira. limeajiri wachache alafu serikali inatoa ajira za muda mfupi..bado hizo ajira wanapewa wale wachache wenye ajira za kudumu ndio watumikie ajira za muda mfupi pia..HUZUNI. Yaani badala ya kuwapa wa nje ajira za muda mfupi zinazojitokeza yeye yupo buzy kuwapa wenye ajira kwanza...anaendeleza ile hali ya utofauti kati ya WALICHO NACHO NA WASIONACHO..yaani masikini anazidi kukanyagiwa..Taifa linakuwa kwa kujazwa uchungu kwa watu wake....bado anang'ang'ania agombee tena hovyo!....uchungu wa wasomi walio nje ya mfumo unazidi kuwa mkubwa siku hadi siku na cha ajabu kupe anataka ang'ang'anie asitoke..sijui kwa lipi zuri alilolifanya tangu akaimu nafasi?. miradi kaachiwa inasua sua utafikiri haina msimamizi yaani mjenzi anaamua afanye anavyotaka jamani
 
Back
Top Bottom