Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Kalazimishwa alikuwa anakomaa pamoja kuwa afya mgogoro.
 
Thubutu, weka makalio yako kwa utulivu uone muziki wa DT

Tatizo tunatofautiana Upeo, kama ulikua fan wa JPM sishangai ukiwa fan wa Trump

JPM akipanda jukwaani utasikia tumechezewa vyakutosh "mazezeta yatapiga kelele za furaha"
Trump nae akipanda jukwaani utasikia, America inachezewa na watu, mzezeta yanapiga kelele za furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…