Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

Naomba kujua kama trup atashinda uras awamu hii anaruhusiwa kugombea awamu inayo fuatia?
 
Apa labda kama wanataka mwanamke wampe Nancy Pelosi au watafute kijana mwenye nguvu ampe changamoto trump
 
Yeah kuna uwezekano kabisa wa wao kuwa na open convention.

I can’t wait to see that.
It is an open convention. The job of unifying the party will be really hard. No moderate figure that can be accepted by the progressive,liberal and few conservative in the party at the moment. It is either they are extreme and no one with ability to drill the middle ground. Progressive on the social dynamic while at least conservative in the economy. Aiming for the future while investing at the moment.
 
Jibu swali nililouliza,Kama haijawahi tokea haimaanishi haiwezi tokea,na hao electoral college ni deep state,mawakala wa mabepari wanaoamua nani awe rais
Electors hawawezi kwenda kinyume na will ya raia wa majimbo na kujiamulia watakavyo wao.

Wakifanya hivyo italeta constitutional crisis.

Ndo maana haijawahi kutokea.

Ambacho huelewi ni nini?
 

Katupa taulo 😁👋
 
Kwamba Amerika kuna mazezeta?
 
Kale kabibi nako kamezeeka Sana.
And still she exert a lot of influence. She is the reason he is resigning. Jeffrey or Schumer couldn't do it. It is like the influence Mitch McConnel exert on the republican. Although it is a republican party, it is still Mitch doing. The judges, in all the benches are his design. The recruitment of the candidate. Still there are his signature still.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…