TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Huyo jamaa mkisimama wawili kwenye pared wewe mwenye biashara unaonekana una stress kumzidi na yupo sawa yeye anakwambia kikubwa anapumua mengine yataji-set.

Hapa utagundua namna nafsi zetu zilivyo tofauti.
Mkuu kilichomfanya ajinyonge kuna mwingine hakimpi hata stress. Just imagine mwingine akiachwa na mpenzi wake anajinyonga wakati mwingine akiachwa na mpenzi wake anafurahi sana.

Mwingine anapenda ugomvi but mwingine ukigombana nae anajinyonga
 
Unachozungumza ni kweli depression za namna hii zinanikumba saana na mpaka sasa mara nyingi wazo la bora nige lina nijia ila nikikumbuka watoto wangu ni wadogo na pia kujiua ni udhaifu na kumkosea Mungu nabaki kusema heri nisubiri wakati wangu nipumzike ila si kwakujiua mwenyewe
Pole sana nakushauri tu ongea tu wala usiyaweke moyoni uwe huru najuwa ni rahisi kuongea hivi lakini nakushauri tu ukijsikia hali hii tafuta mtu ongea kila kitu na usibebe mambo kwa uzito unaweza kuwa unashida lakini kumbuka kuna mtu anashida zaidi ya kwako mara 10. Tafuta amani ya moyo kama dini au watu ambao utanufaika kuwa nao karibu. Mungu awasaidie wote wanaopitia hii hali, hili jambo tunaona kama utani lakini likimpata mtu wa karibu yako ndio utajuwa ukubwa wake.
 
Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Yule alifia hospitali alikua kwenye majaribio ya kuruka na kamba kudumbukia kwenye sim tank sasa hakupima vizur urefu wa ghorofa na kamba aliyofungwa,aliporuka akatua direct mpaka likavunjika akavunjika miguu yote na mbavu,alifarik hospitalin
 
Pole sana nakushauri tu ongea tu wala usiyaweke moyoni uwe huru najuwa ni rahisi kuongea hivi lakini nakushauri tu ukijsikia hali hii tafuta mtu ongea kila kitu na usibebe mambo kwa uzito unaweza kuwa unashida lakini kumbuka kuna mtu anashida zaidi ya kwako mara 10. Tafuta amani ya moyo kama dini au watu ambao utanufaika kuwa nao karibu. Mungu awasaidie wote wanaopitia hii hali, hili jambo tunaona kama utani lakini likimpata mtu wa karibu yako ndio utajuwa ukubwa wake.
Nashkuru kwa ushauri wako ila nimejifunza kulinganisha maisha yangu na watu walio na changamoto zaidi yangu ivo pia inanisaidia kila nikiwa na hali hii
 
Madeni, jamani madeni ni mabaya.

Wanawake, ukiwaendekeza wanawake umekwisha.

Kufulia, ukifulia tu kila unayemtizama unahisi anakucheka.

Maisha yetu ni mafupi sana, ukiwa na mda, ishi vile unatamani....coz any moment unarudisha namba tu.

Pole sana kwa familia yake.
Binafsi asaiv nahisi nachekwa na kila raia, ila sina hofu coz najua afya kwanza, mengine nikuanza upya tu. Na Madeni hayafungi mtu..... wadeni watulie kwanza.........
 
... lengo lake halikuwa kuswali bali kwenda kujirusha; angeruhusiwaje kupanda juu? Ni kujifanya anaenda kuswali (msikiti uko juu) ili aruhusiwe na mlinzi kupanda juu kutimiza nia yake ovu.

... lengo lake halikuwa kuswali bali kwenda kujirusha; angeruhusiwaje kupanda juu? Ni kujifanya anaenda kuswali (msikiti uko juu) ili aruhusiwe na mlinzi kupanda juu kutimiza nia yake ovu.
Yani uamke asubuhi kwenda kwenye gorofa kujirusha? alijuaje akifika gorofa ya tano atakuta milango iko wazi? Ni kweli gorofa ya tano kuna msikiti?
 
Okay,mi ninaongea nilimvyomsikia Sam Sasali alijinasibu kwamba Joel ni rafiki yake wa karibu......Sasa Kama na wewe pia ni mtu wako wa karibu unaweza kutuhabarisha Zaidi

...changamoto zipi za kiafya?
hii Hali Joel hakuikubali na ndo imemfanya akafikia hayo maamuzi. tuishie hapa mkuu. Asante
Screenshot_20230524_113541_WhatsApp.jpg
 
Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.

Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akabaki mweupe akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.

Ni vitu vya ajabu sana.
Kuwa karibu na Mungu kwa kufanya ibada(sio ile mi niko karibu na Mungu halafu hutendi yaliyo mema) ,humfanya mtu kuepukana na mawazo mengi maovu na mabaya.

Tukubali tukatae, mwanadamu unavyozidi kuwa mbali na Mungu ndivyo unavyozidi kuwa karibu na shetani na ndivyo mawazo mabaya zaidi kichwani huongezeka.

Shetani kazi yake ni kumpa mtu mawazo mabaya na ahadi za uongo, kwamba ukijiua ndio utapata ahueni dhidi ya matatizo yanayokukabili.

Amini, Amini nawaambieni ikiwa mtu utathubutu kutoka na kwenda kuona wagonjwa mahospitalini walau mara moja kwa wiki basi utajua nini umuhimu wa uhai . Toka ukae na watoto yatima, mafukara n.k halafu cheki jinsi gani wana furaha licha ya kuwa na hali duni, then utathamini kila ulicho nacho.

Amini, Hakuna kitu kinaua moyo kama kupendelea kukaa sana na watu wenye vipato vikubwa na wapenda starehe. Kuna mtu anapata stress tu kuona why hana uwezo wa kununua hennessy au kuwa na magari ya kisasa tu kama vijana wadogo wanaoenda kutamba pale kidimbwi.Stress zinampelekea hadi kukata tamaa ya maisha , anaona dunia ishakuwa ndogo,hastahili trna kuishi na hapo ndipo shetani hukuletea evil solution ,commit suicide!!! Jiue ili ukapumzike.

Amini ukijiua ,jua umejidhulumu nafsi yako na huko uendako hakuna mapumziko bali adhabu tu. Kwanza kujiua ni kukata tamaa na rehema za Mola wako.Huamini kuwaanaweza kukuvusha katika hali ngumu unayoipitia.

Hakuna akatae tamaa na rehema za mola wake isipokuwa dhalimu
 
Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.

Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akabaki mweupe akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.

Ni vitu vya ajabu sana.
Kuwa karibu na Mungu kwa kufanya ibada(sio ile mi niko karibu na Mungu halafu hutendi yaliyo mema) ,humfanya mtu kuepukana na mawazo mengi maovu na mabaya.

Tukubali tukatae, mwanadamu unavyozidi kuwa mbali na Mungu ndivyo unavyozidi kuwa karibu na shetani na ndivyo mawazo mabaya zaidi kichwani huongezeka.

Shetani kazi yake ni kumpa mtu mawazo mabaya na ahadi za uongo, kwamba ukijiua ndio utapata ahueni dhidi ya matatizo yanayokukabili.

Amini, Amini nawaambieni ikiwa mtu utathubutu kutoka na kwenda kuona wagonjwa mahospitalini walau mara moja kwa wiki basi utajua nini umuhimu wa uhai . Toka ukae na watoto yatima, mafukara n.k halafu cheki jinsi gani wana furaha licha ya kuwa na hali duni, then utathamini kila ulicho nacho.

Amini, Hakuna kitu kinaua moyo kama kupendelea kukaa sana na watu wenye vipato vikubwa na wapenda starehe. Kuna mtu anapata stress tu kuona why hana uwezo wa kununua hennessy au kuwa na magari ya kisasa tu kama vijana wadogo wanaoenda kutamba pale kidimbwi.Stress zinampelekea hadi kukata tamaa ya maisha , anaona dunia ishakuwa ndogo,hastahili trna kuishi na hapo ndipo shetani hukuletea evil solution ,commit suicide!!! Jiue ili ukapumzike.

Amini ukijiua ,jua umejidhulumu nafsi yako na huko uendako hakuna mapumziko bali adhabu tu. Kwanza kujiua ni kukata tamaa na rehema za Mola wako.Huamini kuwaanaweza kukuvusha katika hali ngumu unayoipitia.

Hakuna akatae tamaa na rehema za mola wake isipokuwa dhalimu

Mungu atulinde sisi na vizazi vyetu dhidi ya kuzidhulumu nafsi zetu kwa kujiua ameen
 
Mimi nimesoma na marehemu joel pale taasisi ya ustawi wa jamii, kwa tuliomfahamu joel alikuwa ni mtu mwenye furaha muda wote kiasi kwamba hata baadhi yetu walikuwa wanamfata kuomba ushauri kuhusu mambo ya chuo na maisha nje ya shule. Na kwa taaluma ya psychology aliyoipata pale kwenye taasisi ni jambo la kushangaza sana kwanini alichukua maamuzi magumu na kuamua kupinzana na ujuzi wake taaluma ya ustawi
 
Back
Top Bottom