litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 642
- 1,303
Una uhakika?Ufanyike uchunguzi pia wa wale waumini waliouliwa na mchungaji MWAMPESA kule kaskazini, aliwaua kwa kuwatoa kafara ya kujenga motel kule nyanda za juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika?Ufanyike uchunguzi pia wa wale waumini waliouliwa na mchungaji MWAMPESA kule kaskazini, aliwaua kwa kuwatoa kafara ya kujenga motel kule nyanda za juu
Sasa mbona taarifa inasema alimwambia mlinzi wa jengo anaenda kuswali? kuna msikiti gorofa ya tano?Hadi juzi alikuwepo DPC, alikuwepo ibadani jumapili.
Mzee wake hakuwa mchungaji bali mzee wa kanisa.
Mawazo ya kujiua ni moja ya dalili za sonona.Sasa ndio wajiue?.Nashauri Serikali iweke Somo la Stoicism Phillosophy kwenye mitaala yake ili kuwafundisha watu namna ya kuvumilia shida.
... lengo lake halikuwa kuswali bali kwenda kujirusha; angeruhusiwaje kupanda juu? Ni kujifanya anaenda kuswali (msikiti uko juu) ili aruhusiwe na mlinzi kupanda juu kutimiza nia yake ovu.Sasa mbona taarifa inasema alimwambia mlinzi wa jengo anaenda kuswali? kuna msikiti gorofa ya tano?
Zamani mlikuwa mmewazidi wamasai kabla ya wao kuanza kuwa wajanjaWasukuma tumekukosea nini? Ina maana sisi ndo washamba kuliko makabila mengine?
Sijui ni kweli 😅😅👆👆Daah ila haya maishaa mtu anapark chini gari anapanda gorofani kwenda kujirusha afe... MC sijui nini kimemkutaa ila kama hajaacha hata barua kiukweli inaumizaa sana.
HakikaSana dear usipokuwa na imani na kuomba Mungu unajipeleka.
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.Mbona wanasema anafahamika kwa jina la JOEL ni MC maarufu tu...iweje aende kusali msikitini? Halafu hapo Pembeni yake kuna TAASISI ambayo ukienda kinyume utajikuta kwenye Mtaro au Kisima.
Aliyefariki ni Mkristo ,why aende kusali msikitini? Ma MC wengi huwa ni watu wa vitengo.
Ni mkristo,alipania tu kujiuaSasa mbona taarifa inasema alimwambia mlinzi wa jengo anaenda kuswali? kuna msikiti gorofa ya tano?
Moyo unanigomea kuwa kajirusha.Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2632483
Rafiki yake Sam Sasali alikuwa anaongea hapa clouds 360,kwamba mshikaji alikuwa anapitia changamoto flan za maisha,alishazingumza na rafiki zake ni kama alikuwa na madeni hiviJana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
Yule ni mwenyekiti wa mtaa ule kama sikosei.Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
Oyaa sio poaa yani inasikitisha sanaa...mzee anatoka kwenda kutafuta unajua anarudi unasikia kajiuaa daah hapana aisee mzee alikuwa mbinafsi kujifikiria yeye tuSijui ni kweli 😅😅👆👆
madeni ndo unajiuaa???Rafiki yake Sam Sasali alikuwa anaongea hapa clouds 360,kwamba mshikaji alikuwa anapitia changamoto flan za maisha,alishazingumza na rafiki zake ni kama alikuwa na madeni hivi
Kwa hiyo ni maswala ya betting...
Unachozungumza ni kweli depression za namna hii zinanikumba saana na mpaka sasa mara nyingi wazo la bora nige lina nijia ila nikikumbuka watoto wangu ni wadogo na pia kujiua ni udhaifu na kumkosea Mungu nabaki kusema heri nisubiri wakati wangu nipumzike ila si kwakujiua mwenyeweHakuna haja ya kufanya dhihaka haya mambo yana siri kubwa kuna issue ya depression huwezi kujuwa kuna wakati mtu haongei na mtu kuna kampeni kubwa duniani kuhusu haya mambo nakumbuka ile story ya Gary Speed mchezaji/Manager alikuwa na mafanikio makubwa tu lakini ghafla akakutwa kajinyonga garage na uchunguzi ulifanyika hakuna foul yoyote kumbe depression. Na hata hapa kwetu yapo sana sasa bila kuhitimisha nini kilimsibu ni vizuri tukasikia uchunguzi sababu issue kama hizi tumeona sana.
Najua ndugu yangu?mi mwenyewe nimeshangaa japo hajaongea kiuwazi sana,anasema Kuna mshkaji wao mwingine alimwambie asiwe anabaki nyumbani awe anaenda kushindashinda ofisini kwake ndio walikubaliana aanze kwenda Leo j5madeni ndo unajiuaa???