TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Screenshot_20230523-212740.jpg
 
Mbona wanasema anafahamika kwa jina la JOEL ni MC maarufu tu...iweje aende kusali msikitini? Halafu hapo Pembeni yake kuna TAASISI ambayo ukienda kinyume utajikuta kwenye Mtaro au Kisima.

Aliyefariki ni Mkristo ,why aende kusali msikitini? Ma MC wengi huwa ni watu wa vitengo.
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
 
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
Rafiki yake Sam Sasali alikuwa anaongea hapa clouds 360,kwamba mshikaji alikuwa anapitia changamoto flan za maisha,alishazingumza na rafiki zake ni kama alikuwa na madeni hivi
 
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
Yule ni mwenyekiti wa mtaa ule kama sikosei.

Najiuliza, yeye alikuwa wapi muda huo?
 
Serkali iweke utaratibu mzuri wa watu kujiua.
Mahitaji yamekuwa mengi sasa.
Kuna nchi tayari wana mashine nzuri tu za kujiua bila kutengeneza taharuki na vichwa vya habari.
...“Death is the solution to all problems" by Stalin
 
Hakuna haja ya kufanya dhihaka haya mambo yana siri kubwa kuna issue ya depression huwezi kujuwa kuna wakati mtu haongei na mtu kuna kampeni kubwa duniani kuhusu haya mambo nakumbuka ile story ya Gary Speed mchezaji/Manager alikuwa na mafanikio makubwa tu lakini ghafla akakutwa kajinyonga garage na uchunguzi ulifanyika hakuna foul yoyote kumbe depression. Na hata hapa kwetu yapo sana sasa bila kuhitimisha nini kilimsibu ni vizuri tukasikia uchunguzi sababu issue kama hizi tumeona sana.
Unachozungumza ni kweli depression za namna hii zinanikumba saana na mpaka sasa mara nyingi wazo la bora nige lina nijia ila nikikumbuka watoto wangu ni wadogo na pia kujiua ni udhaifu na kumkosea Mungu nabaki kusema heri nisubiri wakati wangu nipumzike ila si kwakujiua mwenyewe
 
Back
Top Bottom