Huyo jamaa mkisimama wawili kwenye pared wewe mwenye biashara unaonekana una stress kumzidi na yupo sawa yeye anakwambia kikubwa anapumua mengine yataji-set.Kweli binadamu timetofautiana uwezo wa kuhandle issues
Mkuu kilichomfanya ajinyonge kuna mwingine hakimpi hata stress. Just imagine mwingine akiachwa na mpenzi wake anajinyonga wakati mwingine akiachwa na mpenzi wake anafurahi sana.Huyo jamaa mkisimama wawili kwenye pared wewe mwenye biashara unaonekana una stress kumzidi na yupo sawa yeye anakwambia kikubwa anapumua mengine yataji-set.
Hapa utagundua namna nafsi zetu zilivyo tofauti.
Pole sana nakushauri tu ongea tu wala usiyaweke moyoni uwe huru najuwa ni rahisi kuongea hivi lakini nakushauri tu ukijsikia hali hii tafuta mtu ongea kila kitu na usibebe mambo kwa uzito unaweza kuwa unashida lakini kumbuka kuna mtu anashida zaidi ya kwako mara 10. Tafuta amani ya moyo kama dini au watu ambao utanufaika kuwa nao karibu. Mungu awasaidie wote wanaopitia hii hali, hili jambo tunaona kama utani lakini likimpata mtu wa karibu yako ndio utajuwa ukubwa wake.Unachozungumza ni kweli depression za namna hii zinanikumba saana na mpaka sasa mara nyingi wazo la bora nige lina nijia ila nikikumbuka watoto wangu ni wadogo na pia kujiua ni udhaifu na kumkosea Mungu nabaki kusema heri nisubiri wakati wangu nipumzike ila si kwakujiua mwenyewe
Yule alifia hospitali alikua kwenye majaribio ya kuruka na kamba kudumbukia kwenye sim tank sasa hakupima vizur urefu wa ghorofa na kamba aliyofungwa,aliporuka akatua direct mpaka likavunjika akavunjika miguu yote na mbavu,alifarik hospitalinKuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Unaweza kudhani kajirusha kumbe ni msukuma alikua anashangaa shangaa akatokea dirishani bahati mbaya
Nashkuru kwa ushauri wako ila nimejifunza kulinganisha maisha yangu na watu walio na changamoto zaidi yangu ivo pia inanisaidia kila nikiwa na hali hiiPole sana nakushauri tu ongea tu wala usiyaweke moyoni uwe huru najuwa ni rahisi kuongea hivi lakini nakushauri tu ukijsikia hali hii tafuta mtu ongea kila kitu na usibebe mambo kwa uzito unaweza kuwa unashida lakini kumbuka kuna mtu anashida zaidi ya kwako mara 10. Tafuta amani ya moyo kama dini au watu ambao utanufaika kuwa nao karibu. Mungu awasaidie wote wanaopitia hii hali, hili jambo tunaona kama utani lakini likimpata mtu wa karibu yako ndio utajuwa ukubwa wake.
Binafsi asaiv nahisi nachekwa na kila raia, ila sina hofu coz najua afya kwanza, mengine nikuanza upya tu. Na Madeni hayafungi mtu..... wadeni watulie kwanza.........Madeni, jamani madeni ni mabaya.
Wanawake, ukiwaendekeza wanawake umekwisha.
Kufulia, ukifulia tu kila unayemtizama unahisi anakucheka.
Maisha yetu ni mafupi sana, ukiwa na mda, ishi vile unatamani....coz any moment unarudisha namba tu.
Pole sana kwa familia yake.
hakufa palepale ,alipelekwa hopsital alikufa baada ya wikiKuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
... lengo lake halikuwa kuswali bali kwenda kujirusha; angeruhusiwaje kupanda juu? Ni kujifanya anaenda kuswali (msikiti uko juu) ili aruhusiwe na mlinzi kupanda juu kutimiza nia yake ovu.
Yani uamke asubuhi kwenda kwenye gorofa kujirusha? alijuaje akifika gorofa ya tano atakuta milango iko wazi? Ni kweli gorofa ya tano kuna msikiti?... lengo lake halikuwa kuswali bali kwenda kujirusha; angeruhusiwaje kupanda juu? Ni kujifanya anaenda kuswali (msikiti uko juu) ili aruhusiwe na mlinzi kupanda juu kutimiza nia yake ovu.
kuna kameraHapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
hii Hali Joel hakuikubali na ndo imemfanya akafikia hayo maamuzi. tuishie hapa mkuu. AsanteOkay,mi ninaongea nilimvyomsikia Sam Sasali alijinasibu kwamba Joel ni rafiki yake wa karibu......Sasa Kama na wewe pia ni mtu wako wa karibu unaweza kutuhabarisha Zaidi
...changamoto zipi za kiafya?
Naomba unitafsirie maelezo hayo yanayohusu betting, naelewa ni betting ila sina clue ya kilichotokea, yaani alifanyaje? Alishinda au hakushinda?
Kuwa karibu na Mungu kwa kufanya ibada(sio ile mi niko karibu na Mungu halafu hutendi yaliyo mema) ,humfanya mtu kuepukana na mawazo mengi maovu na mabaya.Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.
Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akabaki mweupe akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.
Ni vitu vya ajabu sana.
Kuwa karibu na Mungu kwa kufanya ibada(sio ile mi niko karibu na Mungu halafu hutendi yaliyo mema) ,humfanya mtu kuepukana na mawazo mengi maovu na mabaya.Kila mtu ana kiwango cha kuhimili matatizo na hizi ni changamoto tu za maisha hata mimi na wewe as long as tunapumua bado hatuna haki ya kusema hatuwezi kufikia hali ya jamaa muhimu tusali sana Mungu atuepushe.
Mimi namjua jamaa alikopa bank zaidi ya Tsh 200mill akaenda China kufunga mzigo akakutana na wahuni wakamnyoosha alipigwa cash yote akabaki mweupe akarudishwa bongo na ubalozi leo tupo nae mtaani hapa Kariakoo anapiga winga zake maisha yanaenda mwengine alikopa aendeleze biashara akaletewa mzigo mbovu akajinyonga,unaweza ukaona mmoja alikopa aanze biashara akapoteza akabaki normal huyu mwingine biashara alikuwa nayo tayari ila alipopoteza akajidhuru.
Ni vitu vya ajabu sana.
Daah kwamba kukosa mtoto ndo akaamua kujiuaa??? madeni yaliyoka wapi kama hakuwa na familia yenye watoto?? alikopa kwa ajili ya famila yao kwamba kaka na dada zake auhii Hali Joel hakuikubali na ndo imemfanya akafikia hayo maamuzi. tuishie hapa mkuu. AsanteView attachment 2633197
Nyanang'hwe gete 😁Ūlīndanganu gete nyanda bebe 😬😬😬
Abasukuma balekage 🙌
AMA KWELI MGANGA HAJIGANGI !!
JAMAA PAMOJA NA KUWA MC PIA ALIKIWA NI "MOTIVESHNO SPIKA"
Bongo hii usanii mwingi sana.