IfNot WhyNot
Senior Member
- Aug 21, 2013
- 144
- 257
huyo Marehemu Joel alikuwa ni nani, alikuwa anafanya kazi gani?
na alikuwa anafanya nini kwenye hilo gorofa muda huo?
tukipata majibu ya maswali hayo ndipo tutajua kama
1. kajirusha mwenyewe au
2. kasukumizwa.
Wanasema alienda hapo akadai anataka akswali huko juu(alidanganya)Alfajiri alikua anafanya Nini huko ghorofani
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.
HakushindaNaomba unitafsirie maelezo hayo yanayohusu betting, naelewa ni betting ila sina clue ya kilichotokea, yaani alifanyaje? Alishinda au hakushinda?
Mweeh! RIP
Hizi gorofa nyingi ukiingia unalizwa unaenda wapi ?Amepata faida ipi kujiuwa!!! Halafu anaenda msikitini kwani ni muislamu!!, tangu lini Joel akawa Muislamu jamani!!
Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
mdada?Kuna mdada alishawahi niambia Kujiua ni "Lack of Life Skills"...
Sim ya mkononi. Mawasiliano yake ya mwisho ni muhimu sanaGari linatakiwa lipekuliwe possible kunaweza kukawa na simu ndani ,barua labda enye maelezo wahy kafanya vile na "VIZIBITI" vingine ,then wakishajiridhisha hakuna kitu inabidi walikabidhi kwa familia ndani ya muda mfupi tu.....Kwa muda huu ilitakiwa lishaondolewa oysterbay na kukabidhiwa familia kama linaendelea kuwepo basi polisi wa forensic wajitafakari.
Hapana unaweza kuwa na life skills asilimia 200 ila ukikosa mtu wa kumtemea MAUMIVU YAKO aisee utaona kifo pekee ndo solution na hapo ndo suala la kujiua linakuja.Kuna mdada alishawahi niambia Kujiua ni "Lack of Life Skills"...
mbona mimi sioni sehemu wameandika madeni mkuu??Daah kwamba kukosa mtoto ndo akaamua kujiuaa??? madeni yaliyoka wapi kama hakuwa na familia yenye watoto?? alikopa kwa ajili ya famila yao kwamba kaka na dada zake au
Joel alipooza upande wa kushoto wa uso wake, hii Hali ya kupooza hakukubaliana nayo na tuliokuwa karibu nae aliacha kupost status kama awali takribani mwezi .mbona mimi sioni sehemu wameandika madeni mkuu??
kuna mahali huko juu mtu amesema jamaa alikuwa na madeni na amesema anafahamu maisha yake kwa namna flani.mbona mimi sioni sehemu wameandika madeni mkuu??