TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Alfajiri alikua anafanya Nini huko ghorofani
Wanasema alienda hapo akadai anataka akswali huko juu(alidanganya)
Msikiti upo ghorofa la juu kabisa 15,ye akapanda lift akaishia floor ya 7 wakamuona anaongea na simu mda mrefu ndo wakasikia kishindo mtu kaanguka.so alikua na nani huko kisa nini hawajui.
 
Jana nimetazama video ya jamaa anatoa ushuhuda nikamtilia mashaka kwasababu kila baada ya neno utasikia "alikuja kumwomba mwenyezi Mungu" yaani neno "mwenyezi Mungu" alilirudia sana na hata usoni mwake akiwa anaongea ni mashaka matupu.

Na alisitiza huwa wanamuona anakujaga kusali sana pale msikitini.
 
Mtu huna hata Gari unataka kujiua, haya mwenzenu ana GARI na kajirusha.

Furahia maisha uliyonayo na uache kutamani maisha wanayoishi wengine kwa kuona mali na vitu wanavyomiliki.

Yawezekana, Kuna mtu mtaa wa MAREHEMU alikua akimuona MAREHEMU asubuhi akitoka na gari yake anamtamani kweliii,ana wish angekua hata na maisha kama ya marehemu.

Fikiria, Maisha ya mtu uliekua unamtamani,yeye mwenyewe alikua anatamani leo kesho Aamke akute watu wanaomboleza KAFARIKI, ila Mungu hapangiwi.

Jamaa akaona msimcheleweshe akaamua Kupita Shortcut.

SOMO:

Maisha uliyonayo Mungu anasababu ya wewe kuwa hivyo ulivyo,usitamani mali au maisha ya mtu mwingine kwani hujui anayopitia mwenzako.

Kama Mtu huyu Kajiua kwa kushurutishwa,naamaini kafanya yote hayo kwa ajili ya FAMILIA yake.

au Lah! kuna baya zaidi lingekuja tokea mbele yake,akaona kuliko aje a make Headline ni bora,headline ya kujiua.

JAMANI kuna maisha mengine tusiyoyaona watu wanaishi.
 
Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.

Gari linatakiwa lipekuliwe possible kunaweza kukawa na simu ndani ,barua labda enye maelezo wahy kafanya vile na "VIZIBITI" vingine ,then wakishajiridhisha hakuna kitu inabidi walikabidhi kwa familia ndani ya muda mfupi tu.....Kwa muda huu ilitakiwa lishaondolewa oysterbay na kukabidhiwa familia kama linaendelea kuwepo basi polisi wa forensic wajitafakari.
 
Gari linatakiwa lipekuliwe possible kunaweza kukawa na simu ndani ,barua labda enye maelezo wahy kafanya vile na "VIZIBITI" vingine ,then wakishajiridhisha hakuna kitu inabidi walikabidhi kwa familia ndani ya muda mfupi tu.....Kwa muda huu ilitakiwa lishaondolewa oysterbay na kukabidhiwa familia kama linaendelea kuwepo basi polisi wa forensic wajitafakari.
Sim ya mkononi. Mawasiliano yake ya mwisho ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom