Yule bwege alikuwa anajifanya mtu wa sarakasi na mazingaombwe..alikaa ICU siku mbili akarudi kwa BABAKuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Yule si alikuwa anafanya mchezo wa kuruka na tank la maji liliandaliwa ila aligonga pembeni ya tank akavunjika miguu akafia hospitalin..Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Sana dear usipokuwa na imani na kuomba Mungu unajipeleka.Watu wengi wako depressed.
Maisha yamekua na changamoto nyingi.
Inakua miguu imevunjika.Hivi ukijirusha ukapona halafu miguu ikavunjika inakuwaje hapo?
Sio mazingaumbwe aliiga mchezo kama ulaya wazungu wanaruka majengo marefu wao wanakuwa na vifaa ila yeye aliweka simtak lenye maji kwenye kuruka aligonga pemben ya tank af akaingia ndan.alivunjik miguu yote 2 akafa.yule bwege alikuwa anajifanya mtu wa sarakasi na mazingaombwe..alikaa ICU siku mbili akarudi kwa BABA
Hapo Dr lazma upambane na jamuhuri.Hivi ukijirusha ukapona halafu miguu ikavunjika inakuwaje hapo?
Labda mama yake alikuwa bado kijana akajua lazima atapata mimba na kuzaa mtoto mwingine(replacement)Sio mazingaumbwe aliiga mchezo kama ulaya wazungu wanaruka majengo marefu wao wanakuwa na vifaa ila yeye aliweka simtak lenye maji kwenye kuruka aligonga pemben ya tank af akaingia ndan.alivunjik miguu yote 2 akafa.
Kuwa seriousUgumu wa maisha!Tanzania viongozi wanakula na kusaza.wananchi wamesahaulika
Unajaribu njia nyingine, mfano kunywa Didimac.Hivi ukijirusha ukapona halafu miguu ikavunjika inakuwaje hapo?
Ukweli mchunguSaa 11 alfajiri ndio kajirusha? huyo atakuwa anashurutishwa na atakuwa kapata mateso makali sana na inawezekana akawa amesukumizwa. Anyway tuwaachie Mamlaka za uchunguzi
Unajaribu njia nyingine, mfano kunywa Didimac
Ukweli mchungu
Hapana mkuu,Wazungu wakisema hatuna akili tusikatae.tangu saa 11 mpaka saa 2 mnauangalia tu?
Hamna vituo vya polisi?hospital?