Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ndio maana wavivu na wajinga kama wewe msiotaka kujifunza kwa kushughulisha akili zenu kutafuta maarifa, Mnasubiria kutafuniwa nyie mmeze tu.kwa idea yako hii maana yake hamna haja ya watu hata kwenda vyuoni
acha upumbavu mzee
Hata mwalimu huwa anacopy kwenye vitabu ila ana mchango mkubwa katika maendeleo ya mwanafunzi
Halafu sio kila mtu ana hobby ya kusoma, wengine wanajifunza effectively kwa kusikia na vitendo
Nimesema ni rahisi? Elewa comment kabla ya kuuliza maswali ya kijinga.kuongoza hata somo moja tu kitaifa unadhani ni rahisi?
kwanza miaka hiyo kupata A flat si mchezo lazima uwe fit kichwani
Sema jamaa naye anadanganyaga watu kuwa alikuwa best student kitaifa o - level wakati aliongoza tu baadhi ya masomo. Motivational speaker kuwa mwo
Tuoneshe na vya kwako!!1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.
2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
Hela ni kama ushuzi tu.. huwa haijifichi. Mtu mwenye hela hahitaji mtetezi wa kumtetea kuwa ana hela.Nanauka baada ya kumaliza chuo unajua amefanya Kazi wapi na wapi
Yule alikuwa UNICEF
Ukisema PESA sijui Kama unaweza mfananisha na waajiriwa wa bongo
Nanauka unajua analipwa sh . ngapi ili kuzungumza ?
Usiongee mambo kui-mpress Nanauka yupo hatua za juu Sana now
Ya mkosaji hayo!! Simdharau aliye single lakini ukweli utabaki kuwa raha isiyo na mfano duniani ni maisha ya ndoa kwa wanaojitambua!! Changamoto zipo lakini haziwezi kuzima raha na burudani ya ndoa!! Ndoa tamu nyie acheni mchezo!! hakuna mfano wake!! Ni raha mpaka basi!! Ninapozungumza hivi nina miaka 36 ya ndoa!!Eti bahati haikuwa yao, labda bahati ya hizo samani za kishamba hapo.
Nawaona washamba wawili sijui wameokotana wapi, bora kubaki single tu.
Tatizo amekumiss!! Vipi hapo?Naam, umeniita?
Tatizo nini?
Umechelewa sana kuutoa huu ushauri wako.Ya mkosaji hayo!! Simdharau aliye single lakini ukweli utabaki kuwa raha isiyo na mfano duniani ni maisha ya ndoa kwa wanaojitambua!! Changamoto zipo lakini haziwezi kuzima raha na burudani ya ndoa!! Ndoa tamu nyie acheni mchezo!! hakuna mfano wake!! Ni raha mpaka basi!! Ninapozungumza hivi nina miaka 36 ya ndoa!!
Watu wengi huwa hawajawahi kuona raha ya ndoa kwa sababu walikosea mwanzo!!Waliingiliana na kushiriki tendo la ndoa kabla ya ndoa!! hiyo ni sumu ya ndoa!! ukifanya hivyo sahau kujua utamu na burudani ya ndoa!! Usishiriki tendo la ndoa na yeyote kabla ya ndoa!! Ukifanikiwa hapo, kuna raha isiyo na kifani inakusubiri!! Maajabu ya Mungu kwenye ndoa yamefichwa kwenye uaminifu kabla na baada ya ndoa!!
Hela ni kama ushuzi tu.. huwa haijifichi. Mtu mwenye hela hahitaji mtetezi wa kumtetea kuwa ana hela.
Acha uongo huwa anasema yeye hivo hivo kwa baadhi ya masomo tena sayansi, wewe ndio muongo mkubwa.Sema jamaa naye anadanganyaga watu kuwa alikuwa best student kitaifa o - level wakati aliongoza tu baadhi ya masomo. Motivational speaker kuwa mwongo haipendezi.
We jamaa unafurahisha snaa, iv unajua mshikaji.alishfanya kaz umoja wa mataifa na akaacha kwa kuamua kufata potential yake?, b4 unajua alikuwa asomee u daktari ila akaamua kuacha?, nyie binadam mnataka nini ? .Tanzania one halafu akaja kuwa muuza maneno?
Wewe una elim gan, umesoma wapi? Harvard ?Joel ana elimu gani? Alisoma wapi? Harvard?
Safi sana unajua 🔥🔥kwani lengo kutoa elimu au kubuni kitu kipya?
mbona wewe umezikalisha kwenye boksa unatumia maarifa ya watu?
kwa nini usibuni simu yako? kwa nini utumie JFf? si utengeneze yako?
Kabisaa.🙏Watanzania wengi wana wivu wa kijinga sana na roho za kifukara kama wachawi. Ukifuatiliaji comments za wengi humu watu roho zinawauma Ile mbaya Kwa mafanikio ya Nnanauka. Ni wachache sana Wanao appreciate mafanikio ya Joel na usmart wake kichwani.
Mkuu wewe una interest ya kusoma vitabu ,achna na vya ki bongo?.Ndio maana wavivu na wajinga kama wewe msiotaka kujifunza kwa kushughulisha akili zenu kutafuta maarifa, Mnasubiria kutafuniwa nyie mmeze tu.
Wavivu wavivu kama wewe msiotaka kujifunza wenyewe ndio mtaji mkubwa kwa hao Motivation speakers.
Wewe ni msemaji wake?Acha uongo huwa anasema yeye hivo hivo kwa baadhi ya masomo tena sayansi, wewe ndio muongo mkubwa.
Kukaa na top leader ndo kuwa na hela? Watu kibao humu wanaandika nyuzi na mara nyingi zinafanyiwa kazi na serikali. Je na wao wana hela?MTU akikuzidi Potential huyo sio mwenzako tena .
MTU Kama anaishauri serikali na kukaa na top leaders maana yake kuna kitu anacho.
Na wewe vp ulikuwa msemaji wake?Wewe ni msemaji wake?