Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

kwa idea yako hii maana yake hamna haja ya watu hata kwenda vyuoni

acha upumbavu mzee

Hata mwalimu huwa anacopy kwenye vitabu ila ana mchango mkubwa katika maendeleo ya mwanafunzi

Halafu sio kila mtu ana hobby ya kusoma, wengine wanajifunza effectively kwa kusikia na vitendo
Ndio maana wavivu na wajinga kama wewe msiotaka kujifunza kwa kushughulisha akili zenu kutafuta maarifa, Mnasubiria kutafuniwa nyie mmeze tu.

Wavivu wavivu kama wewe msiotaka kujifunza wenyewe ndio mtaji mkubwa kwa hao Motivation speakers.
 
Sema jamaa naye anadanganyaga watu kuwa alikuwa best student kitaifa o - level wakati aliongoza tu baadhi ya masomo. Motivational speaker kuwa mwo

1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.

2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
Tuoneshe na vya kwako!!
 
Nanauka baada ya kumaliza chuo unajua amefanya Kazi wapi na wapi

Yule alikuwa UNICEF

Ukisema PESA sijui Kama unaweza mfananisha na waajiriwa wa bongo

Nanauka unajua analipwa sh . ngapi ili kuzungumza ?

Usiongee mambo kui-mpress Nanauka yupo hatua za juu Sana now
Hela ni kama ushuzi tu.. huwa haijifichi. Mtu mwenye hela hahitaji mtetezi wa kumtetea kuwa ana hela.
 
Eti bahati haikuwa yao, labda bahati ya hizo samani za kishamba hapo.

Nawaona washamba wawili sijui wameokotana wapi, bora kubaki single tu.
Ya mkosaji hayo!! Simdharau aliye single lakini ukweli utabaki kuwa raha isiyo na mfano duniani ni maisha ya ndoa kwa wanaojitambua!! Changamoto zipo lakini haziwezi kuzima raha na burudani ya ndoa!! Ndoa tamu nyie acheni mchezo!! hakuna mfano wake!! Ni raha mpaka basi!! Ninapozungumza hivi nina miaka 36 ya ndoa!!

Watu wengi huwa hawajawahi kuona raha ya ndoa kwa sababu walikosea mwanzo!!Waliingiliana na kushiriki tendo la ndoa kabla ya ndoa!! hiyo ni sumu ya ndoa!! ukifanya hivyo sahau kujua utamu na burudani ya ndoa!! Usishiriki tendo la ndoa na yeyote kabla ya ndoa!! Ukifanikiwa hapo, kuna raha isiyo na kifani inakusubiri!! Maajabu ya Mungu kwenye ndoa yamefichwa kwenye uaminifu kabla na baada ya ndoa!!
 
Ya mkosaji hayo!! Simdharau aliye single lakini ukweli utabaki kuwa raha isiyo na mfano duniani ni maisha ya ndoa kwa wanaojitambua!! Changamoto zipo lakini haziwezi kuzima raha na burudani ya ndoa!! Ndoa tamu nyie acheni mchezo!! hakuna mfano wake!! Ni raha mpaka basi!! Ninapozungumza hivi nina miaka 36 ya ndoa!!

Watu wengi huwa hawajawahi kuona raha ya ndoa kwa sababu walikosea mwanzo!!Waliingiliana na kushiriki tendo la ndoa kabla ya ndoa!! hiyo ni sumu ya ndoa!! ukifanya hivyo sahau kujua utamu na burudani ya ndoa!! Usishiriki tendo la ndoa na yeyote kabla ya ndoa!! Ukifanikiwa hapo, kuna raha isiyo na kifani inakusubiri!! Maajabu ya Mungu kwenye ndoa yamefichwa kwenye uaminifu kabla na baada ya ndoa!!
Umechelewa sana kuutoa huu ushauri wako.
 
Watanzania wengi wana wivu wa kijinga sana na roho za kifukara kama wachawi. Ukifuatiliaji comments za wengi humu watu roho zinawauma Ile mbaya Kwa mafanikio ya Nnanauka. Ni wachache sana Wanao appreciate mafanikio ya Joel na usmart wake kichwani.
Kabisaa.🙏
 
Ndio maana wavivu na wajinga kama wewe msiotaka kujifunza kwa kushughulisha akili zenu kutafuta maarifa, Mnasubiria kutafuniwa nyie mmeze tu.

Wavivu wavivu kama wewe msiotaka kujifunza wenyewe ndio mtaji mkubwa kwa hao Motivation speakers.
Mkuu wewe una interest ya kusoma vitabu ,achna na vya ki bongo?.
 
Jeiefu ndio kuna great thinker ? Mbona watu ni wana wivu na uchawi pasipo wao kujijua?
1. Mnaomponda tuonyesheni nyinyj potential yenu kwa umma hata kidogo basi tuwaone kama kitu rahisi

2. Mnaosema sijui ana refer somewhere, mhona hizo elimu zenu mlizonazo mlizi take somewhere kwanini hamkuja na zenu kama bongo zenu zinafanya kazi?

3 Mnatumia stuffs eg simu za wale wanaojua ku think deeply, mbna nyinyi hamlet vitu new?, mbna hatuoni potential zenu, sasa zinawasidia nini , bangladesh nyinyi🚮.
 
Back
Top Bottom