Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Mkuu huu utani sasa. Akina Musukuma na Kibajaji wanakunja bei gani kwa siku? Au nayo ni karama?Ni kazi gani MTU ufanye ya kuongea ulipwe mil 3 wa masaa matatu hapa bongo Kama sio Karama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu utani sasa. Akina Musukuma na Kibajaji wanakunja bei gani kwa siku? Au nayo ni karama?Ni kazi gani MTU ufanye ya kuongea ulipwe mil 3 wa masaa matatu hapa bongo Kama sio Karama?
Mmm ndoa yao si inazaidi ya 13 years .. 😅😅sasa huu uzi unamantiki gani ?? Au Ndo umemjua leo hüyo Nanauka?1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali.
2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa ila bahati haikuwa Yao. Asanteni.
Dada punguza mhemkoMmm ndoa yao si inazaidi ya 13 years .. 😅😅sasa huu uzi unamantiki gani ?? Au Ndo umemjua leo hüyo Nanauka?
Think tank,Karama gani?
think tank ya ku-copyThink tank,
Kausha basithink tank ya ku-copy
Dada punguza mhemko
Mbona sura ni nzuri tu mkuu?Naona hajaoa SURA, bila shaka kaona ubongo, wa kufanana nae kiubongo..!! Hongera Joel
Anamzidi Lilian Mwacha?Mbona sura ni nzuri tu mkuu?
Mkuu huu utani sasa. Akina Musukuma na Kibajaji wanakunja bei gani kwa siku? Au nayo ni karama?
Anamzidi Lilian Mwacha?
Logic ya ku-copy kwenye vitabu?Joel mwenzio anafundisha mambo logically sasa unamfananisha na Msukuma?
Ndoa-N (mnazinguana ndoa inaingia doa) =doa1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali.
2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa ila bahati haikuwa Yao. Asanteni.
ataanza kuandika makala za kataa ndoa sindio ? ,, 😁😁Soon atanza kuonja joto la jiwe
Logic ya ku-copy kwenye vitabu?
Huyo mke wake yupo nae muda Sana na wana watoto nafikiri 03 hivi.ataanza kuandika makala za kataa ndoa sindio ? ,, 😁😁
2015 aligombea ubunge mtwara mjini ila wananchi walimkataa na kumpiga majungu sana kisa dini yake...walidai jimbo la mtwara hawezi kuongoza mkristo, mwishowe wakampa ubunge mtu mmoja alikuwa anaitwa Maftah nachuma muislamu safi sana mwenye sijda kubwa kwatiketi ya CUF,,ila mshkaji alipochaguliwa akaoa tanga na ghafla akawa anaichangia coastal union timu ya ukweni na haitoshi akaamua kuhamia tanga na wakati huo timu ya nyumbani ndanda ilikuwa inapitia wakati mgumu mno kiuchumiGreat thinker think alike
Namkubali Sana huyu jamaa anatumia karama yake vizuri Sana kuisadia jamii.
Kichwani kabarikiwa.
Lete invoice za malipoYes mkuu ndo mambo yanaenda hivyo jamaa anaishi vizuri na kulipwa pesa nzuri.