Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

2015 aligombea ubunge mtwara mjini ila wananchi walimkataa na kumpiga majungu sana kisa dini yake...walidai jimbo la mtwara hawezi kuongoza mkristo, mwishowe wakampa ubunge mtu mmoja alikuwa anaitwa Maftah nachuma muislamu safi sana mwenye sijda kubwa kwatiketi ya CUF,,ila mshkaji alipochaguliwa akaoa tanga na ghafla akawa anaichangia coastal union timu ya ukweni na haitoshi akaamua kuhamia tanga na wakati huo timu ya nyumbani ndanda ilikuwa inapitia wakati mgumu mno kiuchumi
Ahaaa ila watu ni wambea *****
 
Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
Kabisa mkuu.

Wabongo wavivu sana kusoma vitabu afu muhuni mmoja akitokea akasoma soma vitabu na kupiga suti na moka kali akaanza kuwapa speech basi wanaona anajua kila kitu.

In this era of science and technology mambo ni rahisi sana kila mtu anaweza kujua chochote atakacho kwa intaneti tu, si lazima mtu aje akwambie kwa kukupa speech.

Tatizo wabongo hizo intaneti wanatumia kufuatilia simba na Yanga Zuchu& Diamond na udaku udaku tu.
 
Kabisa mkuu.

Wabongo wavivu sana kusoma vitabu afu muhuni mmoja akitokea akasoma soma vitabu na kupiga suti na moka kali akaanza kuwapa speech basi wanaona anajua kila kitu.

In this era of science and technology mambo ni rahisi sana kila mtu anaweza kujua chochote atakacho kwa intaneti tu, si lazima mtu aje akwambie kwa kukupa speech.

Tatizo wabongo hizo intaneti wanatumia kufuatilia simba na Yanga Zuchu& Diamond na udaku udaku tu.
Umesema kweli.
 
Zamani nilikuwa namsikiliza,ila tokea nilipoanza kusoma vitabu nimepoteza interest kabisa ya kumsikiliza huyo mwamba,naona hana jipya,kumbe ni maarifa ya vitabuni.

Hongera kwake kwa kuwa msomaji mzuri.
Yeah sure.

Tatizo lingine la wabongo ngeli shida.

Na vitabu vingi vimeandikwa kwa kiingereza hivyo wabongo hawaelewi lugha na misamiati ya vitabu hivyo.

Huyo Nanauka alichofanya ni kutafsiri hivyo vitabu kwa kiswahili, Akaongeza mawazo yake kidogo kisha akachapisha kuwauzia wavivu wasiotaka kushughulisha akili zao kutafuta maarifa.

Wabongo wengi wanataka matumaini uchwara ya kuwafariji na umaskini.

Mtu anafurahi kuambiwa,
"See you at the top" ilhali kiuhalisia ni hohehae maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.

Ndio wabongo hao.
 
Yeah sure.

Tatizo lingine la wabongo ngeli shida.

Na vitabu vingi vimeandikwa kwa kiingereza hivyo wabongo hawaelewi lugha na misamiati ya vitabu hivyo.

Huyo Nanauka alichofanya ni kutafsiri hivyo vitabu kwa kiswahili, Akaongeza mawazo yake kidogo kisha akachapisha kuwauzia wavivu wasiotaka kushughulisha akili zao kutafuta maarifa.

Wabongo wengi wanataka matumaini uchwara ya kuwafariji na umaskini.

Mtu anafurahi kuambiwa,
"See you at the top" ilhali kiuhalisia ni hohehae maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.

Ndio wabongo hao.
Kama havunji sheria za jamhuri acha ale hela za wavivu.
 
Back
Top Bottom