Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

Mpunguzie mzigo DR. HAYA LAND😊
ipo ivi fanya kuingia YouTube msearch..

Jamaa alikua na distinguished results both O-level na A_level

Na mengineo mengi kuanzia uandishi from scratch mpaka kuweza ku kick life & odds

Ingia utaonaa mengineyo
1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.

2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
 
Anajua yeye mwenyewe
1. Bongo hao motivation speakers bado life linasumbua. Wengi bado wanajitafuta.

2. Ukitaka kujua jiulize mtu kama Mauki au Nanauka anaweza kualikwa kwenye talk ya maana (audience na payment nzuri) nje ya nchi? Hata kwenye vinchi vya kipuuzi kama Burundi, Malawi au Comoro? Kama jibu Ni SIO basi tambua hao jamaa ni makanjanja tu wanataka pesa ya LUKU na mafuta tu. Hawana jipya.
 
1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.

2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
Wasiosoma vitabu watakubishia sana,ila mimi sikuwa msomaji wa vitabu ila nilipenda sana kuwasikiliza akina nanauka miaka hiyo.

Ila baada ya kuanza kusoma vitabu sijui ni mwaka wa ngapi ila nina zaidi ha miaka mi3 sijawahi kumsikiliza tena nanauka japo kwa dakika 2 tu,sioni jipya.

HAINA MAANA KWAMBA ANACHOFANYA NI SCAM AMA NI KIBAYA HAPANA KWA SABABU BADO ANASAIDIA KUFIKISHA UJUMBE KWA WALE WASIOSOMA VITABU.

NA HAPA BONGO FANI KAMA YA NANUKA NI NZURI SANA KWA SABABU BONGO WASIOJISOMEA VITABU NI WENGI HIVYO UTAKUWA INAZUNGUMZA VITU VIPYA KWAO,NA HAPO UTAWAWIN MAANA WATAKUONA UNAJUA VITU KIBAO.
 
1. Bongo hao motivation speakers bado life linasumbua. Wengi bado wanajitafuta.

2. Ukitaka kujua jiulize mtu kama Mauki au Nanauka anaweza kualikwa kwenye talk ya maana (audience na payment nzuri) nje ya nchi? Hata kwenye vinchi vya kipuuzi kama Burundi, Malawi au Comoro? Kama jibu Ni SIO basi tambua hao jamaa ni makanjanja tu wanataka pesa ya LUKU na mafuta tu. Hawana jipya.
Motivational speakers wa mwanzoni walishika shika hela. Mwaka 2011 Shigongo akishirikiana na James Mwangamba aliandaa mkutano Sheikh Amri Abeid Arusha na watu walilipa wengi kiingilio. Ila kwa sasa wananchi wameshtuka na kukataa hizo mambo. James akipost kwenye page yake hakuna mtu ana-comment tofauti na mwanzoni. Huyo Nanauka alisoma BCom ambapo kwa mwaka aliomaliza 2008 angepata kazi kirahisi na huenda hadi muda huu angekuwa mbali sana kama mhasibu. Motivational speaking hailipi. Kwa sasa kuna trend ya hawa wanaojifanya wataalamu wa afya. Unakuta mtu anajiita Dr kabisa. Nao pia wapige hela za wajinga haraka haraka kabla hawajashtuka.
 
1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.

2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
Sawa anakopi WEWE VYA KWAKO VYA KU COPY VIKO WAP..

Hata Kama amecopy Ila yupo exposed na ame pata EXPOSURE ya kusoma MAARIFA mengi ambayo hayapo kwa lugha yetu na akaya boresha na kupata kitu Bora zaidi...

Ndio maana kwenye ulimwengu wa WASOMI Kuna kitu kinaitwa APA STYLE

Sijui unajua maana ya APA STYLE????

Pia unajua,
What does it mean to add to the body of knowledge?

Almost all researchers want to add to the body of knowledge about the topic of their research.
So tusipende ku beza jitihada za watu kwa kujifanya wajuaji kupita KIASI..

Kuna watu hawawezi hata kupiga Dana Dana mbili tatu Ila kwenye ku criticize Mambo ya mpira Sasa utashangaa
 
1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali.

2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa ila bahati haikuwa Yao. Asanteni.
View attachment 3059650
WATZ NI WAVIVU SANA SASA HUYU MTU ANAWADANGANYA DANGANYA NA VITU VYAKE UCHWARA UCHWARA BX MNAMUOVERATE KAMA VILE KITU SANA....ANYWAY SIWALAUMU SANA BCOZ WENGI NI ZERO BRAIN SASA MKIPEWA VITU VYA KUOKOTA OKOTA VYA WATU KAMA HAWA MNAONA NI MAGENIOUS SANA SHEENZ KABISA
 
Back
Top Bottom