Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

1. International best author and motivational speaker kutoka Tanzania akifurahia ndoa na mkewe halali.

2. Ikumbukwe pia Mheshimiwa Dr Nanauka aliwahi kuonyesha Nia Kwa Wadada kadhaa ila bahati haikuwa Yao. Asanteni.
View attachment 3059650
Eti bahati haikuwa yao, labda bahati ya hizo samani za kishamba hapo.

Nawaona washamba wawili sijui wameokotana wapi, bora kubaki single tu.
 
Sawa anakopi WEWE VYA KWAKO VYA KU COPY VIKO WAP..

Hata Kama amecopy Ila yupo exposed na ame pata EXPOSURE ya kusoma MAARIFA mengi ambayo hayapo kwa lugha yetu na akaya boresha na kupata kitu Bora zaidi...

Ndio maana kwenye ulimwengu wa WASOMI Kuna kitu kinaitwa APA STYLE

Sijui unajua maana ya APA STYLE????

Pia unajua,
What does it mean to add to the body of knowledge?

Almost all researchers want to add to the body of knowledge about the topic of their research.
So tusipende ku beza jitihada za watu kwa kujifanya wajuaji kupita KIASI..

Kuna watu hawawezi hata kupiga Dana Dana mbili tatu Ila kwenye ku criticize Mambo ya mpira Sasa utashangaa
1. Ku-copy bila ku-acknowledge source ni plagiarism (wizi wa maarifa). Ipo siku atadhalilika labda aendelee kuwalisha matango Pori hapo hapo Buza na Mbagala.

2. APA reference style = ni referencing style we Dada acha kutishia watu
 
1. Ku-copy bila ku-acknowledge source ni plagiarism (wizi wa maarifa). Ipo siku atadhalilika labda aendelee kuwalisha matango Pori hapo hapo Buza na Mbagala.

2. APA reference style = ni referencing style we Dada acha kutishia watu

Wivu unakusumbua single mother!

C&p
 
Najua Joel kasoma vitabu vingi, na katoa semina nyingi tu za mahusiano na maisha kwa ujumla, ila sasa kaingia ndoa, namwambia tu, NDOA SIO VITABU WALA SEMINA, karibu uwanja wa vita baridi..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
WATZ NI WAVIVU SANA SASA HUYU MTU ANAWADANGANYA DANGANYA NA VITU VYAKE UCHWARA UCHWARA BX MNAMUOVERATE KAMA VILE KITU SANA....ANYWAY SIWALAUMU SANA BCOZ WENGI NI ZERO BRAIN SASA MKIPEWA VITU VYA KUOKOTA OKOTA VYA WATU KAMA HAWA MNAONA NI MAGENIOUS SANA SHEENZ KABISA
Utakufa kwa wivu aisee duuuh
 
Back
Top Bottom