Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Hamna karama mule zaidi ya ku-copySoma post ya mtoa mada utajua karama yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna karama mule zaidi ya ku-copySoma post ya mtoa mada utajua karama yake.
Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.Great thinker think alike
Namkubali Sana huyu jamaa anatumia karama yake vizuri Sana kuisadia jamii.
Kichwani kabarikiwa.
Jamaa kaona fursa anatambaa nayo kama Mauki. Sema ubaya wa Mangi anakula wateja ofisiniWakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
sema kukataliwa kunaumaaa sanaakukataliwa mbona kawaida mkuu wangu Joel
Ukitoa jambo kwenye vitabu ukatuambia sisi wabongo wa ufundi wa maneno ya kiswahili tunakuona nabii.Jamaa kaona fursa anatambaa nayo kama Mauki
Hamna karama mule zaidi ya ku-copy
kama ni easy nawe fanya u copyHamna karama mule zaidi ya ku-copy
Katibu kata tu akili itatibuka.Huyo mpatie U DC au DED ndo utajua kama ni great thinker au ni wale wale wa jalalani.
Katibu kata tu akili itatibuka.
Kala maganda kabugi alikua very wise and intelligent, alipotolewa jalalani tu zikafyatuka akawa wakala wa dawa za mitishamba.
Watu wanaangalia smartnessKomwe ni Fassion eeh?
Message sent, Kuna mchepuko anafikishiwa ujumbeakifurahia ndoa na mkewe halali.
Wabongo tuna wivu mkuu😂Nilitegemea comment Kama hii
Na hauambiwi bure. Lazima ulipie uchakavuUkitoa jambo kwenye vitabu ukatuambia sisi wabongo wa ufundi wa maneno ya kiswahili tunakuona nabii.
Hakuna cha bure mkuu😁Na hauambiwi bure. Lazima ulipie uchakavu
Hakika kama shigongo na Stori zake za Rais anampenda mke wanguHakuna cha bure mkuu😁