Umechambua vema, lakini hapa hatuongelei mziki wa chuga... hawa walishafika kwetu huku mjini.
Mziki wa chuga achia kina Chindo, Umbwa et al.
Joh hajawahi kusaundi kichuga, yule ni Jigga wanna be!
acha mipasho jikazeNi haki yake mkuu, we unateseka.?
Hapo alikuwa hajafika mjini, alikuwa bado anajitafuta... jigga ndo kampa lift chap!
Unaongelea nani.?
Mkuu hizo bifu za street huko mbele zinafanywa na wazungu au niggaz?N2N ni bad number... ila zile pigo za beef tuu Ndio zilikuwa sio poa, ila No blame Ndio maisha hta ya Wazungu kila mtu na street yake, na street inakupa company endapo ukionewa na mtaa mwingine, nadhani hiyo imebaki kwa mitaa ya "Sing'isi Meru" kwingine ipo low sana... enzi hizo N2N vs. Block 41
Uwiiiiiiii nampenda huyu kiumbe hadi sijielewi, [emoji8][emoji8]Mademu wazuri wanaong’ara ng’ara, sio G Nako tu, hata mi pia nina Walawala [emoji39]
Ktk Dunia hii, Nawapenda wanaume 3 tyuuh.we mara unamtaka Geofrey Lea,mara G Nako ,si utulie na mmoja utakosa vyote
Alfu mbona hip hop saiz ni laini hadi watoto wakike wanapenda miaka hiyo ya nyuma kukuta gal anapenda hip hop ni wachache sana tofauti na saiz kwasababu watu hawaimbi ngumu na ukiimba ngumu hutoboi na ndio maana kuna Trap imeongezeka saiz inawavutia gals kupenda hip hop. Joh makini hana kosa ni muziki umebadilika tu.