Joh Makini, sitokusamehe kwa kutuharibia mziki wetu Nako 2 Nako Soldiers

"Look, if you had, one shot, or one opportunity
To seize everything you ever wanted. In one moment
Would you capture it, or just let it slip?"

Huwezi choshwa na lyrics kama hizi za Eminem kamwe

Sawa, sauti yake kali mno.... mtazamo wangu.
 
Umenikumbusha Camp langu la Suwa Side mferejini pale Uwanja wa Chuma Soweto ...yaani baada ya mechi lazima upake GV
Ar Chugs ni Kwere

Wapi Spark ???
Msududu mpaka Suwa??
RiP KinG Kola...
Aisee
 
Watanzania tunapenda sana lawama. Kiufupi Joh kawasaidia sana N2N kuendelea kuwa kwenye ramani, maana baada ya kina Lord Eyes kuwa mateja walikuwa washapoteana, so alipoanza kushirikiana nao kwenye kazi tukaendelea kumsikia GNako akiendelea kuliwakilisha kundi. Joh anaanzaje kuwahofia N2N wakati yeye tu kama Solo ana hits nyingi na kubwa kuliko hilo kundi?
 
Umemkosea sana heshima Eminem kumfananisha na huyu mpuuzi 69 au na ww upo upande Diddy hamkubali eminem.
[emoji16][emoji16][emoji16]yaani yule mpumbavu sijui ndio freemason ama ndio wakati umefika!!!
Hip hop nayo imewekwa sukari siku hizi,wengine wanaongeza na rangi ndio hawa kina tekashi 69.
 
Nimesoma Uzi wako mpaka hapo uliposema Humpendi Eminen nimejua wewe hujui lolote kuhusu hii tasnia..

Endelea kupenda singeli.

Ni sawa mkuu, siijui tasnia kivile ila nina machaguo yangu.... sipendi kufokewa!

Michano iliyotulia, ndo maana nimemkubali LordEyez na Jombii sio JCB... vivyo hivyo kwa Eminem.

Sina tatizo na legacy yake!
 
Ni sawa mkuu, siijui tasnia kivile ila nina machaguo yangu.... sipendi kufokewa!

Michano iliyotulia, ndo maana nimemkubali LordEyez na Jombii sio JCB... vivyo hivyo kwa Eminem.

Sina tatizo na legacy yake!
Acha linganisha Slim Shady na takataka
 
[emoji16][emoji16][emoji16]yaani yule mpumbavu sijui ndio freemason ama ndio wakati umefika!!!
Hip hop nayo imewekwa sukari siku hizi,wengine wanaongeza na rangi ndio hawa kina tekashi 69.

[emoji1][emoji1][emoji1] Ngoja tuone anafika wapi uwezo wake tutajua mpaka atakapo toa album ndio tutajua ukubwa wake.
 
Ktk Dunia hii, Nawapenda wanaume 3 tyuuh.
> G Nako
> Geofrey lea
> Chris Brown

Nawapenda hawa viumbe hadi nahisi uchizi kabisaaah.
Ukinipata au ukiniona utajuta kwa nini hukunijua mapema. Hao wanachonizidi ni jina tu.

Pamoja na hilo I do appreciate the fact that G Nako is a piece of machinery on choruses.
 
Hapa unamuonea Joh

N2N walianza kujifia kabla hata Weusi haijazaliwa

Enzi N2N inatamba weusi haikuwepo, kulikua na Joh aka Rapture akiwa solo na akina Nikki chini River camp soldiers..... halikia kundi la mziki bali kijiwe tu cha wana wanachana

Ibra akalianzisha N2N akajitoa na Lod izy akazama kwenye mihadarati kundi likafa

Weusi ilianza kama collabo na baada ya kuendana wakaunda kundi rasmi Joh nikki na gnako na baadae loyd izy

Hakujawahi kuwa na ushindani kati ya kundi la weusi vs liver camp
 
Fido vato bana acha utoto
 
Wangekuwa wakubwa tungewasikia Tanzania nzima. Hao kina spacdawg wanajulikana baadhi ya mitaa tu ya Arusha mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…