Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika cd4 hamna uso umemvimba na lips nyekundu kwa kubwia mboleayeye ndu.guy anayo cheti??. kajitu kenyewe kako vulnerable halafu kana jimwambafai!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
Kwa hizi data inashangaza kuona Uingereza wanafikiria kuhusu kuendeleza ligi yao ya mpira wa miguu.Wakubwa wa dunia wanapumulia mipira.
Kenya Hali tete
Zambia Hali tete
Kiboko TANZANIA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Calculator imetolewa alama ya +.View attachment 1450475View attachment 1450476
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka watu wafe madameTanzania hutakaa upate idadi kamili hasa ya vifo
Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
Kwa hizi data inashangaza kuona Uingereza wanafikiria kuhusu kuendeleza ligi yao ya mpira wa miguu.
Mpaka utakapo kufa wewe ndiyo idadi kamili ya vifo itatoka!Tanzania hutakaa upate idadi kamili hasa ya vifo
Kwani mbowe Ali lockdown wabunge kwa sheria IPI?Wajinga hamuoneshi dalili ya kupungua
Tz ni sheria ipi inaruhusu spika kutaka cheti cha ugonjwa wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya mwisho mmetoa takwimu lini?Wakubwa wa dunia wanapumulia mipira.
Kenya Hali tete
Zambia Hali tete
Kiboko TANZANIA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Calculator imetolewa alama ya +.View attachment 1450475View attachment 1450476
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyeti ni kwa wabunge wa Chadema tu?Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
Heche wewe ndiye kidume cha mbegu
mimiNa wewe ni nani[emoji16]