John Heche amwambia Ndugai kesho anaingia bungeni na hakuna wa kumzuia

John Heche amwambia Ndugai kesho anaingia bungeni na hakuna wa kumzuia

Ukitaka kuyajua ya Ndugai kamuulize Assad.

Ndugai fujo kama hizo za kuuza majina ndo anazipenda.

Sasa we Heche jitoe ufahamu, utapigwa na kitako cha bunduki mbele ya uwanja wa bunge na ndani usiingie.
 
Heche wewe ndiye kidume cha mbegu
 
Sasa na Heche siatulie maana kule Bungeni anapotaka kwenda wenzie hawajapima bado.
 
Back
Top Bottom