Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akidhibitiwa mtakuja hapa na kuanza kulia lia kama wajaneTunasubiri amri kutoka juu itasema nini
Mara ya mwisho mmetoa takwimu lini?
Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
Sasa na wao waliobaki wanavyo ivyo vyeti?Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
kwanini sasa wewe umepost takwimu za corona za nchi zingine, kwanini usipost za hayo magonjwa mengineHaina haja..
Tuna magonjwa mengi kwanini iwe corona peke yake ndo itangazwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini sasa wewe umepost takwimu za corona za nchi zingine, kwanini usipost za hayo magonjwa mengine
uanawashwa wewe, amekwambia anaumwa?Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
za kwenu zikitolewa mnabweka kama mbwa koko, ajabu mko makini kutoa za wenzenu
za kwenu zikitolewa mnabweka kama mbwa koko, ajabu mko makini kutoa za wenzenu
Hao wabunge wa CCM wao wamepimwa? Kam ni kupimwa iwe kwa wote. Kulenga wabunge wa CHADEMA to ni ubaguzi na hakuna atakayekubali upuuzi kama huo.Wajinga hamuoneshi dalili ya kupungua
Tz ni sheria ipi inaruhusu spika kutaka cheti cha ugonjwa wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania hatujui!Wakubwa wa dunia wanapumulia mipira.
Kenya Hali tete
Zambia Hali tete
Kiboko TANZANIA [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Calculator imetolewa alama ya +.View attachment 1450475View attachment 1450476
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshapona?!
Ndugai anachotaka ni cheti tu kutoka Mkapa hospital!
na viboko 12 siku anaingia lock down na 12 siku anatoka lock down ili iwe fundisho kwa wahuni wenzieAna corona anataka kwenda kuambukiza askari na wabunge adakwe apelekwe lockdown siku 14
Si alikuwa quarantine na vyeti vinatolewa na Wizara ya Afya kuthibitisha hauna maambukizi? Akilete ndio aingie. By the way, saa tano na dakika 48 sasa hivi. Kaingia Bungeni?Alikuwa anaumwa?