John Heche amwambia Ndugai kesho anaingia bungeni na hakuna wa kumzuia

John Heche amwambia Ndugai kesho anaingia bungeni na hakuna wa kumzuia

Atakwenda kuingia Bungeni na Madaktari wao waliowapima kuwa sasa ni salama ili wakawapime wabunge walioendelea na shughuli za bunge ili kuhakikisha usalama wao wasije kuambukizwa. Bila kufanya hivyo uamuzi wao utakuwa wa kitoto au ulichukuliwa kama kiki ya kisiasa
 
Tanzania hutakaa upate idadi kamili hasa ya vifo
Ili upate idadi kamili hasa ya vifo usisubiri ya takwimu za Serikali zinazodaiwa kupikwa. Fanya sensa yako mwenyewe ukianza nyumbani kwako, jirani, mtaani, ndugu, rafiki, wafanyakazi wenzio, washikaji zako, nk kama kuna kifo vifo, uteletee mrejesho hapa. Takwimu hupingwa kwa takwimu na si kwa hisia.
 
Ili upate idadi kamili hasa ya vifo usisubiri ya takwimu za Serikali zinazodaiwa kupikwa. Fanya sensa yako mwenyewe ukianza nyumbani kwako, jirani, mtaani, ndugu, rafiki, wafanyakazi wenzio, washikaji zako, nk kama kuna kifo vifo, uteletee mrejesho hapa. Takwimu hupingwa kwa takwimu na si kwa hisia.
Uko sahihi hiki ndio kinatakiwa.Mtu asiseme tu ohhh serikali inaficha takwimu atupe zake.
Mimi mitaani kwangu tuna miezi sita hajawahi kufa hata kibaka mtaa mzima wacha kwenye ukoo wangu hatuna hata mmoja aliyekufa wala kuumwa WALA KULAZWA
 
Uko sahihi hiki ndio kinatakiwa.Mtu asiseme tu ohhh serikali inaficha takwimu atupe zake.
Mimi mitaani kwangu tuna miezi sita hajawahi kufa hata kibaka mtaa mzima wacha kwenye ukoo wangu hatuna hata mmoja aliyekufa wala kuumwa WALA KULAZWA
Wanaodai Serikali inaficha au inachakachua takwimu ni upinzani. Najiuliza, iwapo kila Chama cha Siasa kina mashina, iweje wasiwe na takwimu sahihi? Au wanasubiri matokeo ya kura za uchaguzi wadai kuwa wameibiwa ati wao wanazo zilizo sahihi. Kwa kura inawezekana kuficha lakini kifo cha binadamu hakifichwi.

Hivyo basi natoa changamoto kwa kila member wa JF, ataje vifo vya nyumbani kwake, mtaani na ukoo, tutapata takwimu sahihi. Nyumbani kwangu, jirani, mtaani na ukoo hakuna aliyeathirika au vifo hadi sasa. Maisha yanaendelea kama jana na juzi hata kesho, kwa ulinzi wake Mungu.

Tanzania bila COVID-19 yawezekana, kama inavyojihirisha hadi sasa.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO
 
Anayewashwa ni aliyejimwambafai jana kuwa anaenda Bungeni na Spika hatamfanya kitu, halafu Siku imefika anaingia mitini! Kulikuwa na haja gani kutwambia? Si angekaa kimya tukaona baada ya kuingia? Na kwakuwa wwe ni NYUMBU huwezi ku analyse this! Pole!!
umekomenti vzr, haya nenda wakakulipe kwa kazi nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho ndicho wanachoweza chadema kutunishiana misuli.
Hivi Heche anadhani bungeni ni kama choo cha nyumba yake?akileta umwamba uvunjwe tu mikono
 
Wanaodai Serikali inaficha au inachakachua takwimu ni upinzani. Najiuliza, iwapo kila Chama cha Siasa kina mashina, iweje wasiwe na takwimu sahihi? Au wanasubiri matokeo ya kura za uchaguzi wadai kuwa wameibiwa ati wao wanazo zilizo sahihi. Kwa kura inawezekana kuficha lakini kifo cha binadamu hakifichwi.

Hivyo basi natoa changamoto kwa kila member wa JF, ataje vifo vya nyumbani kwake, mtaani na ukoo, tutapata takwimu sahihi. Nyumbani kwangu, jirani, mtaani na ukoo hakuna aliyeathirika au vifo hadi sasa. Maisha yanaendelea kama jana na juzi hata kesho, kwa ulinzi wake Mungu.

Tanzania bila COVID-19 yawezekana, kama inavyojihirisha hadi sasa.

JIKINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE WAPENDWA WAKO

Nina watu kumi ninaowafahamu kwa uhakika wamekufa kwa Corona. Hawa nina uhakika nao wala sihadithiwi. Iko hivi, taarifa za maambukizo na vifo zinafichwa na hilo halina mjadala, labda mjadala uwe kuhusu sababu hasa za kuficha taarifa.
 
Kwani sababu zilizowafanya kukaa Quarantine zimefanyiwa kazi? Ila Silinde alisema jambo la msingi, after 14 days then what?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho ndicho wanachoweza chadema kutunishiana misuli.
Hivi Heche anadhani bungeni ni kama choo cha nyumba yake?akileta umwamba uvunjwe tu mikono
Jamani mbona hamtupi feedback? Heche ameingia Bungeni?

Wameingia na kuendelea na shughuli za bunge kama kawaida, mna kingine.
IMG_20200515_154853.jpg
 
Nina watu kumi ninaowafahamu kwa uhakika wamekufa kwa Corona. Hawa nina uhakika nao wala sihadithiwi. Iko hivi, taarifa za maambukizo na vifo zinafichwa na hilo halina mjadala, labda mjadala uwe kuhusu sababu hasa za kuficha taarifa.
Kwa hiyo kumi ndio kigezo chako? Yaani ni jibu kama la mtoto wa chekechea akiulizwa uko darasa la ngapi atajibu "la kumi". Hivyo, nina uhakika ni namba tu umeitaja. Kwa nini wasiwe tisa au kumi na moja? Hata vile uhakika wa idadi yako hiyo si ndugu zako. Na kwa nini nawe usiwe mmoja wao idadi ifike 11?

Tanzania bila COVID-19 inawezekana ikiwa kila mtu atatimiza wajibu wake.

JILINGE UMKINGE JIRANI

JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
 
Back
Top Bottom