John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.

 
With heche at the helm, utengamano uliopo chadema utapotea, mtaishia kupinduana kama huko nccr.

Si kwakuwa hana uwezo, kuna kakikundi hatari huko tayari kana mtu wao.
Hakuna haya mambo Chadema, Heche anakubalika na makundi yote. Kama Dr Slaa au Zitto hawakuweza kupasua chama ndio sembuse "sisimizi" waliopo?

Heche is not a walkover
 
Kama ana huo uwezo wa kiuongozi atengeneze mazingira ya kumtoa Mbowe kidemokrasia na ayafanikishe. Mbowe ni over stayed mkt na hana mchango mpya wa kiuongozi uliobaki kwa cdm akiwa kama mkt. Abakie kuwa mshauri tu apishe damu mpya.
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Japo mimi sio Chadema, lakini naunga mkono hoja, Ili tuwe na CCM imara, tunahitaji opposition imara, Heche ataijenga Chadema imara kuliko hata Chadema hii ya sasa ambayo kiukweli....

P
 
Mkuu Gagi, Gagnija, hako kakikundi ni kakina nani?, na huyo mtu wao ni nani?, na jee ana uwezo?. Chadema has everything to win but visionary strong leadership!, Heche is the man!.
P
Kina nani wapo kwenye kakikundi sikutajii, mteule wao ni lema.

Ana uwezo au hana hiyo ni juu ya uwezo wangu kutambua.
 
Back
Top Bottom