Pre GE2025 John Heche atikisa Kilombero ni katika Maandalizi ya kung'oa CCM 2025

Pre GE2025 John Heche atikisa Kilombero ni katika Maandalizi ya kung'oa CCM 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , John Heche leo tarehe 10/01/2024 , amefika Kilombero na kuhutubia Maelfu ya Wananchi , ambao kwa Kauli moja wamekubaliana kuing'oa CCM madarakani kwa Udi na Uvumba 2025.

Habari kamili hii hapa.

View attachment 2867876View attachment 2867877View attachment 2867878View attachment 2867879
Haya matumaini mnayojipa ndugu zangu wa Chadema ni matumain hewa.Wingi wa watu kwenye mikutano sio kwamba watakupigia kura.Hata Dr Samia akisema, anakwenda huko Kilombero leo, watahudhuria maelfu ya watu.Kwa hiyo msijipe matumain hewa. Inaonekana hata hesabu za probability hamjui.
 
Hamna kitu! peter lijualikali amewavunja mioyo ya watu wengi wa kilombero na kuiona siasa ni upumbavu...

Watu wamekufa,watu wamekuwa walemavu wa kudumu,mpaka leo hii wengine wapo magerezani.. yote ni ilikuwa kuitoa madarakani ccm kwa mara ya kwanza katika jimbo hili lakini alichofanya yule bwana😆 ama kweli mwanasiasa sio mtu wa kumwamini
 
Kuing'oa CCM madarakani au kuing'oa kwenye viyti viwili vitatu vya bungeni?

Hivyo vya bungeni hata 60 tutwapa, usiwe na wasiwasi, mwendazake aliwafanyia faulo sana. Mama ni mstaarabu.
Noma sana!
 
Haya matumaini mnayojipa ndugu zangu wa Chadema ni matumain hewa.Wingi wa watu kwenye mikutano sio kwamba watakupigia kura.Hata Dr Samia akisema, anakwenda huko Kilombero leo, watahudhuria maelfu ya watu.Kwa hiyo msijipe matumain hewa. Inaonekana hata hesabu za probability hamjui.
Wewe ndio wa kutufundisha sisi ?
 
Hamna kitu! peter lijualikali amewavunja mioyo ya watu wengi wa kilombero na kuiona siasa ni upumbavu...

Watu wamekufa,watu wamekuwa walemavu wa kudumu,mpaka leo hii wengine wapo magerezani.. yote ni ilikuwa kuitoa madarakani ccm kwa mara ya kwanza katika jimbo hili lakini alichofanya yule bwana😆 ama kweli mwanasiasa sio mtu wa kumwamini
Yaani Lijuakali awavunje moyo watu wakati alitengenezwa na wenyewe ?

JamiiForums77508547.jpeg
 
Wewe ndio wa kutufundisha sisi ?
Mm naenda kwa takwimu au statistics. Sio mshabiki maandaz. Samia alikwenda Kigoma, tuliona maelfu ya watu ma barabarani. Je,Hao wote watampigia??? Heche amekwenda, Kilombero tumeona mamia ya watu kwenye mikutano. He hao wote watampigia CDM? Tuwe na akili kidogo ya kufikiria.
 
Kama chama hampaswi kumtegemea Heche kuleta upinzani wa kweli nchi hii... Napenda achukue jimbo la tarime vijijini sio kwa sababu anapendwa....ni kwa sababu asili ya watu wa tarime wanapenda kuwa againist utaratibu wowote ule....na pia waitara amepwaya sana.
 
Kuing'oa CCM madarakani au kuing'oa kwenye viyti viwili vitatu vya bungeni?

Hivyo vya bungeni hata 60 tutwapa, usiwe na wasiwasi, mwendazake aliwafanyia faulo sana. Mama ni mstaarabu.
Kumbe matokeo ya uchaguzi yanategemea ni nani yuko madarakani?!

Ndiyo maana tunataka katiba mpya kabla ya uchaguzi ujao.
 
Kuing'oa CCM madarakani au kuing'oa kwenye viyti viwili vitatu vya bungeni?

Hivyo vya bungeni hata 60 tutwapa, usiwe na wasiwasi, mwendazake aliwafanyia faulo sana. Mama ni mstaarabu.
Mbona unaingea kinyonge sana?

Mwendazake angekuwa ni muislam hata kama angekuwa kama Idi Amini ungemsifia
 
Back
Top Bottom