Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wakati wa Magufuli ulijificha kwenye matope kama Kambalewatu ndiyo kwanza tupo mwaka wa uchaguzi mdogo. Kwanza tunawagaragaza hapa halafu na huko mbele ndiyo mtatafutana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa Magufuli ulijificha kwenye matope kama Kambalewatu ndiyo kwanza tupo mwaka wa uchaguzi mdogo. Kwanza tunawagaragaza hapa halafu na huko mbele ndiyo mtatafutana.
Yupo Msoga anauza mihogo na mananasiRudi kwenu
🤭🤭🤭🤭🤭ambao kwa Kauli moja wamekubaliana kuing'oa CCM madarakani kwa Udi na Uvumba 2025.
Haya ya Jana ni hiyo wakati upo kazini pale burigiPicha za zamani tunataka ya jana!
CHAWA hajawahi kuwa na akili.Labda ametikisa mwili wake.
Wacha kudandia mambo ya cdmHaya matumaini mnayojipa ndugu zangu wa Chadema ni matumain hewa.Wingi wa watu kwenye mikutano sio kwamba watakupigia kura.Hata Dr Samia akisema, anakwenda huko Kilombero leo, watahudhuria maelfu ya watu.Kwa hiyo msijipe matumain hewa. Inaonekana hata hesabu za probability hamjui.
Umeonaeeeeeee ?Wewe ndio wa kutufundisha sisi ?
Mwana ccm yeyote ukimwambia habari za katiba mpya anakuona kama chinja chinja au nyonya damuKumbe matokeo ya uchaguzi yanategemea ni nani yuko madarakani?!
Ndiyo maana tunataka katiba mpya kabla ya uchaguzi ujao.
Tupe tofauti ya ccm na kina MdeeMmeshindwa kuwang'oa kina Mdee bungeni mtaiweza CCM?
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYEREREMm naenda kwa takwimu au statistics. Sio mshabiki maandaz. Samia alikwenda Kigoma, tuliona maelfu ya watu ma barabarani. Je,Hao wote watampigia??? Heche amekwenda, Kilombero tumeona mamia ya watu kwenye mikutano. He hao wote watampigia CDM? Tuwe na akili kidogo ya kufikiria.
Hivi Waitara kuna wakati aliwahi kung'ara ?Kama chama hampaswi kumtegemea Heche kuleta upinzani wa kweli nchi hii... Napenda achukue jimbo la tarime vijijini sio kwa sababu anapendwa....ni kwa sababu asili ya watu wa tarime wanapenda kuwa againist utaratibu wowote ule....na pia waitara amepwaya sana.
Huyo mjinga nilisha muignoreUnawashwa na nini juu ya cdm?
Fuatilia mambo yenu ya lumumba
kwani ameacha kubeti 🐒Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , John Heche leo tarehe 10/01/2024 , amefika Kilombero na kuhutubia Maelfu ya Wananchi , ambao kwa Kauli moja wamekubaliana kuing'oa CCM madarakani kwa Udi na Uvumba 2025.
Habari kamili hii hapa.
View attachment 2867876View attachment 2867877View attachment 2867878View attachment 2867879
Siyo alijificha tu , alikimbia Nchi , wala Kitimoto walimkomesha yaani !Wakati wa Magufuli ulijificha kwenye matope kama Kambale
Ugonjwa umepanda kichwani!Haya ya Jana ni hiyo wakati upo kazini pale burigiView attachment 2868257
mbwembwe zote mkiitwa ikulu mkapewa vijuisi mnalegea,,,,,,,,,,,acha na mwaka huu mkale futari mpige ma selfie ,mkitoka 2025 watu wanabeba nchi kilainiiiMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , John Heche leo tarehe 10/01/2024 , amefika Kilombero na kuhutubia Maelfu ya Wananchi , ambao kwa Kauli moja wamekubaliana kuing'oa CCM madarakani kwa Udi na Uvumba 2025.
Habari kamili hii hapa.
View attachment 2867876View attachment 2867877View attachment 2867878View attachment 2867879
Umechelewa sana !mbwembwe zote mkiitwa ikulu mkapewa vijuisi mnalegea,,,,,,,,,,,acha na mwaka huu mkale futari mpige ma selfie ,mkitoka 2025 watu wanabeba nchi kilainiii
Una maneno mengi sana ulichelewa kutembea!Wakati wa Magufuli ulijificha kwenye matope kama Kambale
ila sio mbaya leteni burudani ila matokeo yanajulikanaUmechelewa sana !