John Heche: Lissu anatembea na Maajabu, Ukimjaribu Utaondoka wewe

John Heche: Lissu anatembea na Maajabu, Ukimjaribu Utaondoka wewe

Hawa kina heche saa zingine wakiishiwa hoja wanakuwaga wapuuzi tu.. hivi kalemani awatume hao uvccm ili iweje?? Kwamba chadema wanamtishia kuchukua jimbo?? Hata kwa akili za mtoto mdogo wa chekechea hawezi kuwaza huo upuuzi..wanarudia siasa zao zile za majitaka za kutuhumu tuhumu watu na kuwachafua kama ilivyokuwa kwa lowasa.

Hapa anazungumzia kuwa kuna vituo viwili vya afya, wakati huo huo wanamtuhumu Magu alikuwa anajenga sana kwao..ndio maana Magu aliachana na wanasiasa na hakutaka kabisa ushirika na wao maana alijua mwisho wa siku huwa wanageuka washirikina.
Kalemani angeshinda jimbo gani kwa mfano?
 
Tuliza Mqoundou we mpubavu unatakiwa kuelewa kuwa Ukimgusa Lissu Kwa Nia ya kumuua utakufa kabla yake kwani huoni yaliyotokea huko CHATO Kwa Mungu wenu? He is now skull and bones kama hutaki jaribu nawewe tukakufukie katibu na mungu wako jiwe nyambafu
Duh bahati mbaya siwezi kujibizana na KE.
 
Inaonekana wewe siyo mfuatiliaji wa mambo haya. Ni aheri ungekaa kimya.

Siku zote watu walikuwa wanasema kuwa marehemu alikuwa anapeleka miradi mikubwa Chato isiyo na tija kwa wananchi walio wengi, wakati Chato ina huduma duni za afya na maji. Tena walikuwa wanasema kabisa kuwa badala ya kuwawekea taa za barabarani, angewapelekea maji.

Hakuna mtu ambaye angeweza kuhoji kama wananchi wa Chato wangekuwa wanapelekewa huduma muhimu, ambazo kwa sasa hawana. Uwanja wa ndege unawasaidia nini wananchi walio wengi ambao hawana hata huduma ya maji?
Kwa hiyo chuo cha veta hakina tija? Miundo mbinu ya maji na barabara haina tija? Hospital ya rufaa haina tija?? Au leo unajitoa akili?
 
20230729_114607.jpg
 
Hawa kina heche saa zingine wakiishiwa hoja wanakuwaga wapuuzi tu.. hivi kalemani awatume hao uvccm ili iweje?? Kwamba chadema wanamtishia kuchukua jimbo?? Hata kwa akili za mtoto mdogo wa chekechea hawezi kuwaza huo upuuzi..wanarudia siasa zao zile za majitaka za kutuhumu tuhumu watu na kuwachafua kama ilivyokuwa kwa lowasa.

Hapa anazungumzia kuwa kuna vituo viwili vya afya, wakati huo huo wanamtuhumu Magu alikuwa anajenga sana kwao..ndio maana Magu aliachana na wanasiasa na hakutaka kabisa ushirika na wao maana alijua mwisho wa siku huwa wanageuka washirikina.
Jiwe gizani. Haya makasiriko siyo bure.....
 
Back
Top Bottom