John Heche: Lissu anatembea na Maajabu, Ukimjaribu Utaondoka wewe

Kalemani angeshinda jimbo gani kwa mfano?
 
Duh bahati mbaya siwezi kujibizana na KE.
 
Kwa hiyo chuo cha veta hakina tija? Miundo mbinu ya maji na barabara haina tija? Hospital ya rufaa haina tija?? Au leo unajitoa akili?
 
Jiwe gizani. Haya makasiriko siyo bure.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…