Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 7,207
- 17,674
Halafu yeye yuko wapi leo na yeye anatiwa nini ?
Kwani kaka yake mbowe aliyeenda na corona yuko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu yeye yuko wapi leo na yeye anatiwa nini ?
Marehemu alikuwa na siasa za kishamba na kipumbavu sana. Likafia mzena huku limeachamaAnatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Yupo wapi Ben sanane na Anzory Gwanda?Acha uongo nitajie nani aliuliwa na Magufuli? Heche empty head tu na hana maajabu!
Hayo Manyumbu kazi yao kushangilia kifo cha Magufuli!Kwani kaka yake mbowe aliyeenda na corona yuko wapi
Unaushahidi gani waliuliwa na Magufuli? Wangapi leo wanakufa kiutata mfano!Yupo wapi Ben sanane na Anzory Gwanda?
Sawa ngoja tumuulize tusikie upande wa piliLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Hata wakimuuliza hawatakubali majibu maana wana chuki na hakuja jema hata moja kwao!Sawa ngoja tumuulize tusikie upande wa pili
Ben Saanane, Azory Gwanda, Mcomoro, wale wa kwenye viroba waliotupwa baharini. Na wale zaidi ya 300 wa MKIRUAcha uongo nitajie nani aliuliwa na Magufuli? Heche empty head tu na hana maajabu!
Mzee hivi vyama ni kama tu timu za mpira ukiona mchezaji flani mzuri na Yuko timu nyingine unaweza kutumia mbinu yyt aje kwako.Kwani wewe mgeni na Jiwe !.Alikuwa na siasa za hovyo kupitiliza.
Ni mjinga angekubali tu uwaziri angekuwa mbali sana.it is life time opportunity.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big respect to you
Watu wajinga tu ndo wanaweza kusema Magufuli alikuwa muuaji.kwa mfano nikikuambia weka ushahidi Magufuli alimuua nani au weka ushahidi utawala wa nani hakukuwa na mauaji?Yule shetani alikuwa na mazuri? Mshenzi sana yule muuaji wa wananchi wasio na hatia.
Ben Saanane, Azory Gwanda, Mcomoro, wale wa kwenye viroba waliotupwa baharini. Na wale zaidi ya 300 wa MKIRUWatu wajinga tu ndo wanaweza kusema Magufuli alikuwa muuaji.kwa mfano nikikuambia weka ushahidi Magufuli alimuua nani au weka ushahidi utawala wa nani hakukuwa na mauaji?
Unatafutaje mtu nje ya CCM kwa kumrubuni kwa fedha za walipa kodi? Halafu unaitisha uchaguzi kanyaboya kwa kutumia fedha za umma!!Lakini hapo sioni shida Magu alikua anatafuta watu makini wakumsaidia na wengi walikua nje ya CCM , hivyo hakusita kuwa fata vyama vingine. Hata wabunge alipenda wawe CCM ili awe boss wao iwe rahisi kuwa wajibisha. (Positive Mind)
Ndio mwisho nimeweka positive thinking hata hivyo ameshapumzika, hakuna kilichotokea tunachoweza kubadili.Unatafutaje mtu nje ya CCM kwa kumrubuni kwa fedha za walipa kodi? Halafu unaitisha uchaguzi kanyaboya kwa kutumia fedha za umma!!
Hivi Nijosnotes unatumia akili kweli kwa hicho ulichoandika au makalio? Yaani munakuwa obsessed na Magufuli mpaka mnahalalisha uvunjaji sheria na katiba (you condone impunity)
Kwa vile hawezi kujibu ndiyo tukae kimya tusimkosoe? Mbona kwenye kumsifia hamsemi kwa vile amepumzika tuache kumsisfiaNdio mwisho nimeweka positive thinking hata hivyo ameshapumzika, hakuna kilichotokea tunachoweza kubadili.
Kama tupo kwenye njia sahihi basi tuinadi kwanguvu hii njia sahihi.