John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

Atupe ushahidi usioacha shaka.
 
Ben Saanane, Azory Gwanda, Mcomoro, wale wa kwenye viroba waliotupwa baharini. Na wale zaidi ya 300 wa MKIRU

Kama mama yako angeuliwa na Magufuli, naamini usingeuliza swali la kipimbi kama hili
Weka ushahidi
 
Bahati Mbaya marehemu hawezi kujitetea... Itabaki ni uzushi na uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…