Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaaKwa vile hawezi kujibu ndiyo tukae kimya tusimkosoe? Mbona kwenye kumsifia hamsemi kwa vile amepumzika tuache kumsisfia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaKwa vile hawezi kujibu ndiyo tukae kimya tusimkosoe? Mbona kwenye kumsifia hamsemi kwa vile amepumzika tuache kumsisfia
Mnyonge aliyezimia baada ya kuona jeneza la Jiwe , cha ajabu hakuachia mfuko wake wa SangaraNani huyu?
Atupe ushahidi usioacha shaka.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big respect to you
HahaaaMnyonge aliyezimia baada ya kuona jeneza la Jiwe , cha ajabu hakuachia mfuko wake wa Sangara
Weka ushahidiBen Saanane, Azory Gwanda, Mcomoro, wale wa kwenye viroba waliotupwa baharini. Na wale zaidi ya 300 wa MKIRU
Kama mama yako angeuliwa na Magufuli, naamini usingeuliza swali la kipimbi kama hili
Bahati Mbaya marehemu hawezi kujitetea... Itabaki ni uzushi na uongoLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big respect to you