Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Magufuli alikuwa RAIS MTOA RUSHWA UPINZANI HAUFI KWA KURUBUNI WAPINZANI NA KUWAHOGA VYEOLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
aache upotoshaji 🐒Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Bila kumtaja Magufuli mwanasiasa unapotea na watu wanakusahau!Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Hii inaitwa kuvuna mavuno ya matendo yako.......hata kama haupo utavuna tuKwahiyo anaongea ili apewe sifa na hongera?
Yanamsaidia Nini kwa sasa?
Hawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Namkubalia sana Heche ila kwenye hili amedanganyaUsijidai umesahau ile biashara kichaa ya kuunga mkono juhudi...
Walipewa pesa na vyeo juu yake.
Bahati Magufuli (John Pombe) hayupo kukiri au kukana hilo.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Hela aliyotoa Shujaa Magufuli kwa family ya Msigwa ilitumika kumtoa Gerezani Freeman MboweHawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.
Peter Msigwa naye alikataa kuchomolewa Segerea na watu wa Magufuli baada ya kuhukumiwa kesi ya kumuua Akwilina Akwelini.
Huu unyama alioufanya Magufuli lazima uanikwe wote ili jamii itambue kuwa Tanzania iliiuwa inapita kwenye kipindi cha shetani mwaka 2015-21.
Nyie nyumbu hamnaga hata aibuLeo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.
Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Magu ndo ilikua zake.....alimtongoza Mnyika waziwazi huku akimuahidi mabilioni na uwaziri juu... voicenotes tunazoAnatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Hebu thibitisha kama anachosema John Heche ni uwongo!! Mbona wengine muko kama kuku wasio na vichwa?? Unapinga tu kwa vile unatumia bando lako kwenye smartphone yako!!Tatizo wanasiasa wa kitanzania si wa kuamini. Kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya kaz za kitaalam. Kwa hiyo ni kufanya siasa, na kuongea uongo uongo tu.
Kutokuamini ww haiminishi sio kweli.Siamini mwanasiasa, kauli huwa ni kauli tu
Wewe umeshakuwa affected psychologically....mwacheni mwamba apumzike.Hawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.
Peter Msigwa naye alikataa kuchomolewa Segerea na watu wa Magufuli baada ya kuhukumiwa kesi ya kumuua Akwilina Akwelini.
Huu unyama alioufanya Magufuli lazima uanikwe wote ili jamii itambue kuwa Tanzania iliiuwa inapita kwenye kipindi cha shetani mwaka 2015-21.
Alisema zaidi ya mara Moja, huenda ww ndio umemsikia Leo. Sasa hilo sio kosa lake Bali ni lako.Anatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Huyo unayemuita Chuma tuliyemzika Chato ndiyo hatamsahau huyu Mwamba wa Butimba. Maana Magu alidhani kila mmoja anaweza kumfokea, lakini mwamba wa Butimba akampa za usoWewe umeshakuwa affected psychologically....mwacheni mwamba apumzike.
Hao chadema so far wamefanya nini zaidi ya kubugia ruzuku tu?...
Hiyo Avatar uliyoweka inadhihirisha chuki....huyo jamaa yako kwenye avatar hawezi kumsahau Chuma pale Butimba...
Shetani aneandikwa na kutajwa kwenye vitabu vya dini.Bila kumtaja Magufuli mwanasiasa unapotea na watu wanakusahau!